black person
Senior Member
- Nov 20, 2014
- 130
- 92
Hapo sawa jua ukizidisha tu Brevis inafungua koromeo.80-120km/hr. Governmental Speed.
Hivi nyie hua mnataka gari inayonusa mafuta kama bajaji au?Kama toyota gx 100/110 unaweza kutembea lita 1 km 9 mpk 10 mnataka nini tena?Gari zote ndogo za mjapan zenye injin ya piston6
Faham ya kuwa ukinunua ujue umefunga nayo ndoa
Sio brevis tu hata markIi GX110 pia GX100 na nyinginezo
Sasa hapo una shida gani.Mbona ni km nyingi tu hizo kwa lita 1 au we ulikua unataka ziende lita 1 km ngapi boss?hzo gari zinakula wese hayar nilkuwa naendesha moja hv ina cc 3000 inakula 9km kwa lita hvyo sio mchezo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti umefunga nalo ndoa!Kiwanda Cha kutengeneza brevis kimefungwa, hazitengenezwi tena, kwahiyo hata spear hazitotengenezwa tena. Ukae ukijua ukilinunua ndo tayari umefunga nalo Ndoa. Watu wanaikimbia sasahivi brevis!!! Nunua ukomeshwe.
Kwenye opa nasikia kuna engine moja ya kuiogopa sana..ambayo huwa inasumbua..ni ipi kati ya hizo apo juu..io ikiharibika mzee ni pasua kichwa sana..em tujuze.Spacio Ina Aina mbili za engine moja ni 1.5 litre (1NZFE) na nyingine 1.8 L (1ZZFE) petrol engines ambazo kwa wastani hutembea 12km/lita
Opa nayo Ina Aina mbili za engine ambazo ni 1.8 L (1ZZFE) na 2.0 L (1AZFE) petrol engines ambazo kwa wastani hutembea 13km/lita
Raum nayoifahamu ni - 1.5 i 16V 4WD petrol engine ambayo fuel consumption yake ni 11 l/100km(9km/lita 1) na nyingine ni 7 l/100km(14.2km/lita 1), hapa nadhani anayejua kwa details zaidi atajazia maelezo.
Nadia (SXN10) - 2.0 i petrol engine Fuel consumption 13 l/100 km. (7.6km/lita 1)
Fuel consumption 8 l/100 km(12.5km/lita1) hapa inategemea unatembea wapi kama mjini kwenye mafoleni au upo mwendo kasi unachanja mbuga.
Nimejaribu kufupisha maelezo lakini mwenye kuujua zaidi anaweza kujazia nyama nyama ukashiba mkuu.
Yeah ni kweli kbsa..c hii inaenda mwaka wa nne tunaitumia ila consumption ni nzuri namna hizo..sa brevis ile sita c matusi hayo.Yah!Td 42 ni injini ya cc 4200 na inakula vizuri sana.Dar - Dom ni km 451.Hata ungeweka mafuta ya elfu 75 ungefika tu.Inatumia wastani wa km 12/lita 1.Gari ikiwa nzima kwenye mfumo wa mafuta kama nozel,pump na valves zikiwa safi.
km 240 kwa tshs 40,000= tshs 166.7 kwa km, equivalent to 14km/l. Full Kibati.Carina si 1.8 je nayo ikoje?
Very True.
Nnalo apa namhoji anasema ulaji kawaida sana huku gauge ikiwa nusu tank..ila anasema hakikisha haifiki robo tank..ikikukatia mafuta ujue umeipa ugonjwa..
Weka picha, weka na bei. Huku mgodini yanawateja kibao.Kuna mama anauza brevis yake mil 5 ,anahangaika nayo bado, anasema shida ni kunywa Sana mafuta hadi madalali wenyewe wanaliogopa
Bullar nipe elimu kidogo kwenye hiyo Picha, hata mie naizimia Sana hiyo gari, kabla sijajitosa
kazi itakuwa kuipata hiyo laki!Vyuma kaka sio kila gari limeshuka sana,mambo ya bei hata mahindi yapo chini
Naimani hata bei za nyumba zipo chini pia
Kufikia 2019 tutanunua hata kwa laki tu
Duuh sijawahi tumia Opa kiasi cha kuzijua kiundani ila kwa ushauri wangu kama unataka kununua Opa basi hii ya 1.8 L (1ZZFE) petrol engine.Kwenye opa nasikia kuna engine moja ya kuiogopa sana..ambayo huwa inasumbua..ni ipi kati ya hizo apo juu..io ikiharibika mzee ni pasua kichwa sana..em tujuze.
Natafuta gari nzuri thaman yake isiwe zaidi ya million 04 mkuu naweza pata?Habari wakuu..
Brevis ni gari nzuri sana na kwa anaejua magari ukimpa choices za gari tatu ambayo moja yake itakua kuna brevis bas hatosita kuichagua brevis.
Ni wazi kuwa juzi nilikua natafuta kuapgrade usafiri wangu nnaotumia so kwa sbb nilishapata mteja nikaona kabla ya kuuza sbr niangalie chaguo mahususi la gari ambao ntaongeza ela kidogo nipate gari ya heshima atleast.choice ya kwanza ikaja brevis sbb nilishawahi kutest kuendesha nikaipenda kiac..
Lakini baada ya kuingia kwenye kusearch mambo niliyoyakuta yalinikatisha tamaa nikaona niulize kwa wadau wajuzi wa magari au haswa wenye uzoefu na izi gari aina ya brevis..
Maana kuna moja niliipenda ila ilitangazwa kati ya august mwaka jana yani 2017 mil 7.5 na kwakua niliipenda ilivyo na rangi yake nikasema sbr niulize kama ipo..kuuliza kweli nilikuta ipo haijauzwa ila sema baada kuendelea kuitumia kwa saivi kaigongesha so sikua interested tena..ingawa najua hata kwa 6 kama ingekua vile vile angenipa..ingawa kaigongesha ila bado mbichi kabisa..
Hivyo basi em tujadiliane ni nini haswa kinafanya hii gari yenye heshima mjini kushuka bei kwa kasi kubwa namna hii..unakuta brevis mbichi kabisa ukiuliza bei utacheka mwenyewe..je zinasumbua?zina matatizo ya ovyo ambayo yanakinaisha?au ndo umiliki wake yake na ulaji wa mafuta una tatiza..je nini tatizo juu ya hizi gari adi zipolomoke bei kwa kasi namna hii haswa used yani second hand..na bado soko lake pia kuwa shida..
Karibuni kwa maoni wajuzi wa mambo.
Pole sana.... FunzadumeHayo magari madogo yenye injini kubwa nuksi sana wakati wa kuuza nakumbuka niliuza GX 100 yangu nzuri balaa kwa milioni 3.5
Asante mkuu kwa taarifa..naipendaga pia ile gari ingawa imepita mda ila ukiiweka rims na mziki bado mjini inaonekana..Duuh sijawahi tumia Opa kiasi cha kuzijua kiundani ila kwa ushauri wangu kama unataka kununua Opa basi hii ya 1.8 L (1ZZFE) petrol engine.
Sababu
1.ni nyingi hivyo upatikanaji wake ni rahisi hata mpya kabisa unapata kwa bei poa
2.ina nguvu(impressive engine power) zaidi kulinganisha na ile nyingine
3.kikubwa zaidi ipo economy kuliko ile nyingine kwa kubalance mafuta vizuri(12-13km/lita1)