mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Ni wazi kuwa bandari hizi mbili ziko kwenye Mikoa ya pwani ya bara hindi na ijulikane Bandari ya Mombasa ndio kubwa ukanda huu wa Africa ya Mashariki na Kati.
Bandari hizi zinatumika na nchi jirani kuingiza mizigo toka sehemu mbali mbali duniani na pia kusafirisha nje mizigo kuelekea sehemu mbali mbali duniani.
Pia ikumbukwe Bandari ya Mombasa ndio kubwa ukanda huu wa Africa with a 1.5 million TEUs ukilinganisha na 0.5 million TEUs.
Naomba tuchangie huu mjadala zaidi tukiangazia ukuwaji wa hizi bandari na pia changamoto zake.
Bandari hizi zinatumika na nchi jirani kuingiza mizigo toka sehemu mbali mbali duniani na pia kusafirisha nje mizigo kuelekea sehemu mbali mbali duniani.
Pia ikumbukwe Bandari ya Mombasa ndio kubwa ukanda huu wa Africa with a 1.5 million TEUs ukilinganisha na 0.5 million TEUs.
Naomba tuchangie huu mjadala zaidi tukiangazia ukuwaji wa hizi bandari na pia changamoto zake.