Porto:Nani aambiwe Ukweli Kaiser Sio Yanga

Porto:Nani aambiwe Ukweli Kaiser Sio Yanga

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Aliyekuwa kocha wa Al Ahly ya Nchini Misri ambaye kwa sasa ni Kocha wa Esteghlal FC ya Nchini Iran Pitso Mosimane amesema kocha Nasreddine Nabi hajaambiwa ukweli kuhusu ligi ya Nchini Afrika ya Kusini

Kocha Pisto Mosemane amesema "Nabi anapaswa kuambiwa ukweli.. Ligi ya Afrika Kusini ni ngumu zaidi kuliko ilivyo kwa Tanzania na Morocco"

"Tanzania kuna Yanga na yeye angekuwa si Kocha wao angeona namna ilivyotabu kupata ubingwa mbele yao lakini hapa Afrika Kusini kuna Mamelodi Sundowns ambaye kila Msimu Ubingwa wa Ligi Kuu ni wake na hapo ndio ugumu unapoanzia" "Hii si Ligi ya Morocco wala Tanzania asitumie sana mbinu za huko hazitomsaidia lolote."

Nabi tangu atue katika klabu hiyo julai moja mwaka huu 2024 amesimamia kikosi hicho katika michezo 8 akipata ushindi katika michezo minne akipoteza mitatu na kutoka sare katika mchezo mmoja.
Credit:East Africa


IMG_1660.jpeg
 
Yanga wenyewe wanabeba makombe kwa kupora ushindi wa timu zingine kwa kutembelea mgongo wa siasa kisha kubebwa na marefa..kwa hiyo vikombe kama 15 ni yamarefa sio ya yanga kama yanga,kayoko anazovikombe vyake 5 pale jangwani...sasa ambiwe ushindi wa yanga huku ni wa refa na wanasiasa sio wa yanga...hizo mbinu haziwezi kufanya kazi kwa jamii iliyostaharabika na wanaocheza soko bora.
 
Yanga wenyewe wanabeba makombe kwa kupora ushindi wa timu zingine kwa kutembelea mgongo wa siasa kisha kubebwa na marefa..kwa hiyo vikombe kama 15 ni yamarefa sio ya yanga kama yanga,kayoko anazovikombe vyake 5 pale jangwani...sasa ambiwe ushindi wa yanga huku ni wa refa na wanasiasa sio wa yanga...hizo mbinu haziwezi kufanya kazi kwa jamii iliyostaharabika na wanaocheza soko bora.
kolo ushasema hapo na ufuti...
 
Back
Top Bottom