Team Wales leo
ni kweli wales wamezidiwa ila,cha muhimu magoliHaya natanguliza pole zangu kwa kuchagua loser leo.
msaaada jamani wengine tupo nje ya mji kabisaaaaaajamani mwenye link yakuona hii match aniwekee
ni kweli wales wamezidiwa ila,cha muhimu magoli
URENO AKIINGIA FAINALI BASI NDOO YAKE
ahsante mmkuuLs man na sawe6
Ingieni kwenye hii website mtaona kuna link nyingi zinaonyesha huo mpira
www.goatd.net
msaaada jamani wengine tupo nje ya mji kabisaaaaaa
Atakae chukua kombe ni mshindi Wa mechi ya leoWajerumani?
[emoji848]
Nahisi pia utakuwa umefurahi sana kusikia Messi kahukumiwa kifungo cha miezi 21.team wales,ila ureno wakipita good,sitaumia furaha yangu mes hajachukua copa america