Mpe pole huyo kaka yako,km hata mkienda kumbembeleza wataendelea kugoma achanen naye,
Coz anaweza msumbua sana huko mbele ya safari yani atakuwa hata akizingua tua akionywa atasema anadharauliwa,
Mwambie aombe mungu atampatia aliye wake na atamkubalia bila masharti wala malalamiko yoyote!