Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Niliwahi kuwemo kwenye masfara mmoja wa posa......tukaambiwa tulete mbuzi namakorokoro mengine......sisi hao mbio vingunguti na Corolla tuakmtia mbuzi kwenye buti......kurudi tukaambiwa tuweke kambi baa jirani kusubiri kuitwa......muda ukaenda na bia zikanyweka....hamadi ile kuitwa na kufungaua buti mbuzi kibudu........