Posh Queen: Mpenzi wangu anapata tabu sana

Posh Queen: Mpenzi wangu anapata tabu sana

Hapa umemaliza fitna na uzushi wa kibongo bongo!formula ukiona vitu fake basi jua original vipo!
Mimi mwenyewe nina cousin wangu ana vigezo vya sheikh kipozeo hatar nae karithi kwa aunt yetu amabe nae karith kwa bibi yetu !
Ila kama ujuavyo kibongo bongo hawakubaliani na majaaliwa ya mtu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Lete namba mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu huyu dem ni mbaya angalia kwa ukaribu hiyo sura yake hiyo pic ya juu aliyovaa nguo nyeupe...ni polygon aisee...
Huyu dada hajielewi umbo la siliconi unalo wewe tabu apate mpenzi wako how? Wewe ndio unaopata tabu kuzidiwa na minyama ya silicon mwilini full stop.
 
Yeye mwenyewe hajionei huruma maana siku mavitu aliyoyaweka yakianza kuleta athari tutatafutana humu maana kipindi cha nyuma hakuaga hivyo alikua flat flat hivi
PICHA YA BEFORE UNAYO?
 
POSHY-QUEEN-819x1024.jpg
Jacqueline obed ‘Poshy Queen’




ANAPATA tabu sana!
Mrembo anayetingisha kwenye mitandao ya kijamii (socialite) kutokana na figa yake matata, Jacqueline obed ‘Poshy Queen’ amefunguka kuwa anamuonea huruma mpenzi wake kwa vile anapata tabu sana kutokana na umbo lake.

Poshy alisema kutokana na usumbufu anaoupata kutoka kwa wanaume wenye uchu wanaotaka kuwa na uhusiano naye kimapenzi, mpenzi wake huwa anapitia kipindi kigumu.


POSHY-QUEEN-1.jpg



“Kuna wakati namuonea huruma kutokana na usumbufu ninaoupata hivyo huwa anajitahidi kupambana na hali hiyo. Kuna wakati unamuona kabisa amekata tamaa, lakini nampa moyo kila siku,” alisema
HAPA KAZI IPO
 
Hapa umemaliza fitna na uzushi wa kibongo bongo!formula ukiona vitu fake basi jua original vipo!
Mimi mwenyewe nina cousin wangu ana vigezo vya sheikh kipozeo hatar nae karithi kwa aunt yetu amabe nae karith kwa bibi yetu !
Ila kama ujuavyo kibongo bongo hawakubaliani na majaaliwa ya mtu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha eti vigezo vya sheikh kipozeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa umemaliza fitna na uzushi wa kibongo bongo!formula ukiona vitu fake basi jua original vipo!
Mimi mwenyewe nina cousin wangu ana vigezo vya sheikh kipozeo hatar nae karithi kwa aunt yetu amabe nae karith kwa bibi yetu !
Ila kama ujuavyo kibongo bongo hawakubaliani na majaaliwa ya mtu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio original...uyu manz tangu kwa mujibu had chuo mwaka wa pili hakua na hyo shape...

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Back
Top Bottom