Posho mbili, Spika Sitta, Takukuru na Maadili yake!

Hii ya kupeleka wasanii wote Segerea ni nzuri, waonaje kama tungeanzia na wasanii waliochota fedha za EPA kuingilia madarakani, pamoja na hao waliofaidika na matunda hayo ndio kisa wanalindana?.

Waonanaje hata tungewajumuisha na Wale wote waliofanya kampeni chafu kutomia photo shup na waliowatuma?, ndipo tumalizie na kina Hosea na Six, au turudi nyuma zaidi tangu enzi za 'Tingatinga?'.
 

- Blah! blah! wapi hoja za kulisaidia taifa na wananchi walalahoi? Sitta na Hosea wakutana uso kwa uso breaking news my foot!

- Now it is very clear, nani should be the first candidate wa huu waya wa umeme kuingia kichwani mwake ili aamuke na usingizi mzito sana!

Respect.


FMEs!
 
Charles mulinda ni nani? .................ameshakula hela za mafisadi sasa ndio anataka kutafuta umaarufu yaani mahali pa kutokea kupitia migongo ya watu......................HUYU TUMPUUZE NA KUMUOGOPA KAMA UKOMA.

Tofauti ya mawazo ndio itakayotutoa katika lindi la umaskini .................
 
Alaa kumbe...!
 

Please give the devil his due, you should've been proud that JF was the first to break it! leo ndio front imeuza karibu kila gazeti. Au kwa sababu nimegusia na 'Tingatinga' ?.
 
inategemea kama umekielewa ninachokitetea; wengine mnazungumzia posho mimi nazungumzia kitu kingine kabisa.
Kama ni hivyo ni sawa.PCCB ni moja ya TAASISI za UMMA zenye wasomi wengi wa SHERIA. Hawawezi kufanya kazi ya uchunguzi wowote ule bila ya kujiridhisha kwanza kwamba hawaendi kinyume na KATIBA yetu.
 


akasahau kwamba hata hayo mambo makubwa huanza na madogo. hajui kwamba hakuna dhambi kubwa na ndogo, zote ziko sawa tu? halafu hawa ndio tunaosema watunge sheria zetu! for pete's sake, we must be kidding.
 


Hakuna sheria inayotetea upumbavu!!!!! yaani kwa vile yeye ni mwanasheria ndiyo maana anataka kukomaa hata mahala pasipostahili? anyway, naogopa kusema kwa sababu watasema nimesema! bora ninyamaze miye mwana wa mwenzenu, maana hawakawii hawa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…