Posho walipandisha mara 2 sababu zinawahusu wao, mishahara wakaongeza kiduchu kama danganya toto.

Posho walipandisha mara 2 sababu zinawahusu wao, mishahara wakaongeza kiduchu kama danganya toto.

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Kuna mambo yako wazi sana wala hayahitaji rocket science kujua kwamba hawa wanasiasa wamejifavor wao, ukitumia hesabu za kawaida kabisa unaona lengo lilikuwa kujilipa vizuri wao na sio watumishi wa umma.

Watumishi ambao wanalipwa kima cha chini nchi hii ni wachache sana, hata wale wa daraja la kati pia ni wachache.

Asilimia kubwa ya watumishi wa umma wapo kwenye UALIMU na AFYA. Sasa ukiangalia haya makundi, wengi mishahara yao inaanzia kwenye 720,000/=. Hawa wa kwenye hili kundi wameongezewa 55,000/= ambayo ni ghafi, ukishatoa makato take home inakuwa kama 20,000/= hivi.

Watumishi hawa wanaoitwa wa kima cha chini ni wachache sana, yani walioongezewa 70,000/= ni wachache sana unaweza kukuta hawafiki hata 10% ya watumishi wote na ndio maana kilio cha nyongeza ndogo kilikuwa na mshindo mkubwa sana. Siyo kama WM alivyotuambia eti kelele zilikuwa zinatoka kwa wanaolipwa vizuri. Kelele zilikuwa nyingi sababu kundi kubwa limeongezewa ongezeko ghafi lisilozidi 50,000/= ambalo baada ya makato unaondoka na kiasi kiduchu sana.

Wakati huohuo wakaongeza viwango vya posho mara 2. Hii yote ni kwa sababu wanajua itawahusu wao zaidi. Ni wao ndiyo wenye safari nyingi, ni wao ndiyo wenye vikao vingi nk. Mtumishi wa kawaida mpaka aje apate nafasi ya safari siyo mchezo, labda kipindi cha mei mosi.

Hili ndiyo kundi lililoongezewa 20,000/=, lakini wanajua watacompesate kwenye posho. Halafu eti WM anasema hili kundi ndilo walilokuwa wanapiga kelele? Wapige kelele kwa kipi wakati posho zao tuu zinawafanya wasiiguse mishahara yao?


IMG-20220726-WA0060.jpg
 
Kuna mambo yako wazi sana wala hayahitaji rocket science kujua kwamba hawa wanasiasa wamejifavor wao, ukitumia hesabu za kawaida kabisa unaona lengo lilikuwa kujilipa vizuri wao na sio watumishi wa umma.

Watumishi ambao wanalipwa kima cha chini nchi hii ni wachache sana, hata wale wa daraja la kati pia ni wachache.

Asilimia kubwa ya watumishi wa umma wapo kwenye UALIMU na AFYA. Sasa ukiangalia haya makundi, wengi mishahara yao inaanzia kwenye 720,000/=. Hawa wa kwenye hili kundi wameongezewa 55,000/= ambayo ni ghafi, ukishatoa makato take home inakuwa kama 20,000/= hivi.

Watumishi hawa wanaoitwa wa kima cha chini ni wachache sana, yani walioongezewa 70,000/= ni wachache sana unaweza kukuta hawafiki hata 10% ya watumishi wote na ndio maana kilio cha nyongeza ndogo kilikuwa na mshindo mkubwa sana. Siyo kama WM alivyotuambia eti kelele zilikuwa zinatoka kwa wanaolipwa vizuri. Kelele zilikuwa nyingi sababu kundi kubwa limeongezewa ongezeko ghafi lisilozidi 50,000/= ambalo baada ya makato unaondoka na kiasi kiduchu sana.

Wakati huohuo wakaongeza viwango vya posho mara 2. Hii yote ni kwa sababu wanajua itawahusu wao zaidi. Ni wao ndiyo wenye safari nyingi, ni wao ndiyo wenye vikao vingi nk. Mtumishi wa kawaida mpaka aje apate nafasi ya safari siyo mchezo, labda kipindi cha mei mosi.

Hili ndiyo kundi lililoongezewa 20,000/=, lakini wanajua watacompesate kwenye posho. Halafu eti WM anasema hili kundi ndilo walilokuwa wanapiga kelele? Wapige kelele kwa kipi wakati posho zao tuu zinawafanya wasiiguse mishahara yao?


View attachment 2310164
Ccm kama iliwahi kuruhusu mtu kama Jiwe kuwa Rais kipi kinakushangaza hapo mkuu?
 
Kuna mambo yako wazi sana wala hayahitaji rocket science kujua kwamba hawa wanasiasa wamejifavor wao, ukitumia hesabu za kawaida kabisa unaona lengo lilikuwa kujilipa vizuri wao na sio watumishi wa umma.

Watumishi ambao wanalipwa kima cha chini nchi hii ni wachache sana, hata wale wa daraja la kati pia ni wachache.

Asilimia kubwa ya watumishi wa umma wapo kwenye UALIMU na AFYA. Sasa ukiangalia haya makundi, wengi mishahara yao inaanzia kwenye 720,000/=. Hawa wa kwenye hili kundi wameongezewa 55,000/= ambayo ni ghafi, ukishatoa makato take home inakuwa kama 20,000/= hivi.

Watumishi hawa wanaoitwa wa kima cha chini ni wachache sana, yani walioongezewa 70,000/= ni wachache sana unaweza kukuta hawafiki hata 10% ya watumishi wote na ndio maana kilio cha nyongeza ndogo kilikuwa na mshindo mkubwa sana. Siyo kama WM alivyotuambia eti kelele zilikuwa zinatoka kwa wanaolipwa vizuri. Kelele zilikuwa nyingi sababu kundi kubwa limeongezewa ongezeko ghafi lisilozidi 50,000/= ambalo baada ya makato unaondoka na kiasi kiduchu sana.

Wakati huohuo wakaongeza viwango vya posho mara 2. Hii yote ni kwa sababu wanajua itawahusu wao zaidi. Ni wao ndiyo wenye safari nyingi, ni wao ndiyo wenye vikao vingi nk. Mtumishi wa kawaida mpaka aje apate nafasi ya safari siyo mchezo, labda kipindi cha mei mosi.

Hili ndiyo kundi lililoongezewa 20,000/=, lakini wanajua watacompesate kwenye posho. Halafu eti WM anasema hili kundi ndilo walilokuwa wanapiga kelele? Wapige kelele kwa kipi wakati posho zao tuu zinawafanya wasiiguse mishahara yao?


View attachment 2310164

Niliposikia eti PM ndo anaenda kutoa ufafanuzi wa ongezeko la mishahara nikajua tu hakuna la maana.

Simsemi vibaya PM ila ni mtu ambaye hupaswi kumwamini hata sekunde moja, mswahili flani anayeamini katika maslahi yake tu na sio wengine, kifupi sio mkweli.

Kama atamaindi aniue tu ila hata yeye atakufa pia
 
Ccm ni kichomi sometimes
Isingekuwepo ccm, huenda mpaka muda huu tungekuwa kama Singapore au Korea ya Kusini!

Ona sasa, wenyewe wanaishi kama wako peponi vile! Halafu wananchi walio wengi wanaishi kama wako Jehanamu.
 
Isingekuwepo ccm, huenda mpaka muda huu tungekuwa kama Singapore au Korea ya Kusini!

Ona sasa, wenyewe wanaishi kama wako peponi vile! Halafu wananchi walio wengi wanaishi kama wako Jehanamu.
Yeah,umenena jema
 
Ccm ni adui mkuu wa taifa ili. Me nasema ukipata nafasi ya kula keki ya taifa we kula. Ata kodi kwepa maana kodi wanakata. Maendeleo ni msaada na mikopo
 
Posho Kwaajili Ya Safari Za Kujikimu Ndani Na Nje Ya Nchi
Wametangaza Viwango Vipya Ingawa Mamlaka Nyingi Haziwezi Kulipa
 
Posho Kwaajili Ya Safari Za Kujikimu Ndani Na Nje Ya Nchi
Wametangaza Viwango Vipya Ingawa Mamlaka Nyingi Haziwezi Kulipa
Tanroads walishatoa tangazo hawawezi kulipa kwa kutumia hivyo viwango vipya vya posho.... Ndo maana nasema watakaofaidi ni haohao wanasiasa, imagine saivi wabunge watakuwa wanatengeneza sh ngapi kwa vile vikao vyao vya miezi 3?
 
Back
Top Bottom