Hahahaha, mimi sijamuita bwana. Nilikuwa namuuliza tu Kaboom kwamba ile makinikia yake iko wapi siku hizi, siioni kabisa.@honey faith unaitwa huku mwenza.
Hapana aisee.Nikupe namba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana aisee.
Mbona wacheka sasaaa ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Bro huyo binadamu sijui kapotelea wapi aisee..Isije ikawa umemfichaHahahaha! Yule anaiyejiita Asali ya Imani, uliyenipiga mkwara nisimzoee!
Teh teh teh braza tusirushiane mpira, mimi sijawahi husika kabisa pale.Bro huyo binadamu sijui kapotelea wapi aisee..Isije ikawa umemficha
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh..Unanisingizia..Mi nakula na kubakiza..Madanga yamekuchakazaWeeeh ulivyonichakaza hata sina hamu na wewe.
Bro ngoja nipewe namba..Ntakupa mrejeshoTeh teh teh braza tusirushiane mpira, mimi sijawahi husika kabisa pale.
Mimi nikutakie kila la kheri braza. Mimi makoloni niliyonayo sasa yananitosha na yamenibana sana.
Ahsante..Ongeza braza..Wachache wanadumaza akili..lolMimi nikutakie kila la kheri braza. Mimi makoloni niliyonayo sasa yananitosha na yamenibana sana.
Kuongeza lazima, lakini kwasasa ngoja nimalizane vizuri na haya niliyonayo.
Tatizo hii biashara ya chupi imekua ni target ya kuzinzika na wateja sababu ni rahisi kukamilisha makubaliano na muuzaji kwakua siri zote huwa zipo kwenye chupi, kama inauzwa hadharani hivyo inamaana aibu imeondoka kwaiyo lolote laweza kuwa kati ya muuzaji na mteja.Hatimaye wajina waje mie... Maarufu kama Poshy queen kafungua duka lake... Ni kama muonavyo pichani.
Duka lipo maeneo ya sinza palestina.. Kwa jina Poshy's secret
Nyote mnakaribishwa
Kila la kheri na mafanikio Jacq[emoji7]
View attachment 1018366View attachment 1018367
Sent using Jamii Forums mobile app