SawaAcha chuki
Yeye na Yanga tu....nyambafu huyu.Hivi huyu sopu huwa ana kiwango gani mbona sionagi? Ye mechi yake 1 tu na Yanga mechi zinazofuata ni kurukaruka tu uwanjani
Feisal ndio kiungo bora kwa sasa kwa nchi hii hivyo hata apange mlevi lazima Feisal ataanza tu kwa starsJe kocha wa JF unaweza kutoa sabsbu ya kuanza na Feisal?
1. Aishi manula
2. Kibwana shomari
3. Kuhende
4. Job Dick
5. Mwamnyeto
6. Sospeter bajana
7. Msuva Simone
8. Yusuph Kagoma
9. Samata
10. Feitoto
11. Sopu
Kocha ukipanga tofauti na hapo tunapigwa.
Bajana dimba sababu ya ubabe wake na ukorofi anamvurugaga mno AUCHO.
Yuko vizuri kwenye pasi za mwisho na ana uwezo mzuri wa kufunga katika mazingira yasiyotarajiwa.Je kocha wa JF unaweza kutoa sabsbu ya kuanza na Feisal?
Mechi za kumi na moja kamili. Itaonyeshwa dstv na kwa wenye king'amuzi cha Azam wataona kupitia ZBC2.Mechi saa ngapi na itaonyeshwa popote, AZAM au DSTV?
Kinyesi fc lazima mumchukie dogo,acheni chukiHivi huyu sopu huwa ana kiwango gani mbona sionagi? Ye mechi yake 1 tu na Yanga mechi zinazofuata ni kurukaruka tu uwanjani