Wana yanga ni manyani mbona msuva aliitwa hamkuongea?Hadi hapo tutapoacha siasa kwenye soka letu hasa kwenye selection ya timu ya Taifa, vinginevyo ni vipigo mfululizo.
Kwa mfano mtu hana timu kwa miezi 4 unamchagua timu ya Taifa? kwa kigezo kipi?
1. Aishi manula
2. Kibwana shomari
3. Kuhende
4. Job Dick
5. Mwamnyeto
6. Sospeter bajana
7. Msuva Simone
8. Yusuph Kagoma
9. Samata
10. Feitoto
11. Sopu
Kocha ukipanga tofauti na hapo tunapigwa.
Bajana dimba sababu ya ubabe wake na ukorofi anamvurugaga mno AUCHO.
nyeto
we mpuuzi haswaa,ukocha ulisokea wapi,umeona kocha kapanga tofauti na tumeshinda1. Aishi manula
2. Kibwana shomari
3. Kuhende
4. Job Dick
5. Mwamnyeto
6. Sospeter bajana
7. Msuva Simone
8. Yusuph Kagoma
9. Samata
10. Feitoto
11. Sopu
Kocha ukipanga tofauti na hapo tunapigwa.
Bajana dimba sababu ya ubabe wake na ukorofi anamvurugaga mno AUCHO.
Wamepigwa Kama ngoma eeeehNaona beki ya Yanga leo inaenda tena kupigwa na Vipers.