Possible lineup itayotupa sare stars tofauti, na hapa tunagongwa

Hadi hapo tutapoacha siasa kwenye soka letu hasa kwenye selection ya timu ya Taifa, vinginevyo ni vipigo mfululizo.

Kwa mfano mtu hana timu kwa miezi 4 unamchagua timu ya Taifa? kwa kigezo kipi?
Wana yanga ni manyani mbona msuva aliitwa hamkuongea?
 
Nikishaonaga mbwembwe za serekali za uhasishaji tayari ujue lazima tupigwe
 
Naona beki ya Yanga leo inaenda tena kupigwa na Vipers.
 

Wewee tayari tumeweka 3 kibindoni
 
we mpuuzi haswaa,ukocha ulisokea wapi,umeona kocha kapanga tofauti na tumeshinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…