Ebu weka hiyo link hapa niende huko mwenyewe please.POSSIBLE MILITARY COUP IN ISRAEL
Hal Turner World November 06, 2024
Video below seems to confirm there is a POSSIBLE military Coup d 'Etat taking place right now in the state of Israel!
Thousands of Israeli troops, in uniform are marching toward Prime Minister Benjamin Netanyahu's location and word on the street (UNCONFIRMED) is that they intend to throw him out, after he fired Defense Minister Yoav Gallant.
This is a fast developing story and it is tough to get factual information, but I will update below as info becomes available.
Mimi sijui mkuu,ila Natenyahu alitoa taarifa ndefu sana kuhusu sababu za Gallants firing ikionyesha kwamba ana wasi wasi.Ngoja tusubiri tuone kama hizi taarifa nilizopata ni za kweli.Impossible!
Lakini, Gallant wanampendea nini? Mbona taharuki imekuwa kubwa? Niliona kwenye taarifa ya habari hadi wananchi waliandamana japo kwa uchache.
It’s phantasm.Mapenduzi huwa yanafanyika na wanajeshi wanao match huku hawana silaha?
Kwa akili zako mapinduzi hadi watu wapigane risasi!?Mapenduzi huwa yanafanyika na wanajeshi wanao match huku hawana silaha?
Mapinduzi yanafanyika sehemu yoyote duniani hakuna kitu kinachoitwa haiwezekani japo natilia shaka taarifa hiiHakuna kitu kama hicho kwenye mature democracy.
Just another fake news wishcasting.
The United States will never ever let its only reliable ally in the Middle East fall to a putsch.
And nor will Israelis, either.
POSSIBLE military Coup d 'Etat taking place right now in the state of Israel!
Thousands of Israeli troops, in uniform are marching toward Prime Minister Benjamin Netanyahu's location
Labda kama hao wahuni jeshini hawajipendi.Hakuna kitu kama hicho kwenye mature democracy.
Just another fake news wishcasting.
The United States will never ever let its only reliable ally in the Middle East fall to a putsch.
And nor will Israelis, either.
Kasome maana ya mapinduzi halafu utaelewa kuwa mapinduzi hufanywa kwa namna ya active na passive form.Mapinduzi ya kijeshi na wanajeshi wapo kama wanafanya jogging!!!
Silaha zi wapi?
Mapinduzi hufanyika zaidi kwenye banana republics zisizo na demokrasia iliyopevuka.Mapinduzi yanafanyika sehemu yoyote duniani hakuna kitu kinachoitwa haiwezekani japo natilia shaka taarifa hii
Hayo ni mawazo yako ambayo kwa kiasi kikubwa ni nje na uhalisia ulioko Israel.Mapindizi hufanyika zaidi kwenye banana republics zisizo na demokrasia iliyopevuka.
Hivyo, hilo kwa sasa haliwezi kutokea Israel.
Israel ina uchumi mzuri. Hakuna kabisa sababu ingine yoyote ile ya kufanya mapinduzi ya kijeshi ilhali taasisi za kidemokrasia zipo na zinafanya kazi vizuri.
Netanyahu anaweza kuondolewa madarakani kupitia taratibu zilizopo kikatiba na kisheria.
Naliamini jeshi la Israel. Ni taasisi inayoendeshwa kwa akili, siyo kama JWTZ ilivyosheneni vilaza 🤣 kuanzia juu, katikati, pembeni, mpaka chini.
IDF haiwezi kabisa ku risk jambo kama hilo huku wakijua nchi yao imezungukwa na mahasimu kila kona.
Sababu yenyewe ni ya kipuuzi mno eti wanajeshi waandamane kisa kuenguliwa kwa waziri wa ulinzi?? 😂Mapindizi hufanyika zaidi kwenye banana republics zisizo na demokrasia iliyopevuka.
Hivyo, hilo kwa sasa haliwezi kutokea Israel.
Israel ina uchumi mzuri. Hakuna kabisa sababu ingine yoyote ile ya kufanya mapinduzi ya kijeshi ilhali taasisi za kidemokrasia zipo na zinafanya kazi vizuri.
Netanyahu anaweza kuondolewa madarakani kupitia taratibu zilizopo kikatiba na kisheria.
Naliamini jeshi la Israel. Ni taasisi inayoendeshwa kwa akili, siyo kama JWTZ ilivyosheheni vilaza 🤣 kuanzia juu, katikati, pembeni, mpaka chini.
IDF haiwezi kabisa ku risk jambo kama hilo huku wakijua nchi yao imezungukwa na mahasimu kila kona.
Hamas siwarushe kombora hapo wamalize kaziPOSSIBLE MILITARY COUP IN ISRAEL
Hal Turner World November 06, 2024
Video below seems to confirm there is a POSSIBLE military Coup d 'Etat taking place right now in the state of Israel!
Thousands of Israeli troops, in uniform are marching toward Prime Minister Benjamin Netanyahu's location and word on the street (UNCONFIRMED) is that they intend to throw him out, after he fired Defense Minister Yoav Gallant.
This is a fast developing story and it is tough to get factual information, but I will update below as information becomes available.
atimuliwe huyo yani itakuwa pigo moja matataPOSSIBLE MILITARY COUP IN ISRAEL
Hal Turner World November 06, 2024
Video below seems to confirm there is a POSSIBLE military Coup d 'Etat taking place right now in the state of Israel!
Thousands of Israeli troops, in uniform are marching toward Prime Minister Benjamin Netanyahu's location and word on the street (UNCONFIRMED) is that they intend to throw him out, after he fired Defense Minister Yoav Gallant.
This is a fast developing story and it is tough to get factual information, but I will update below as information becomes available.