Possible military coup in Israel

Labda Israel ya Buza hii
 
Una shida ya uelewa bro.
Naomba nikuache maana naona una shida ya uelewa.
Mimi sijazungumzia Israeli economic rank bali nimezungumzia anguko la kiuchumi la Israel wakati wa vita kuanzia Oktoba 7 2023 hadi November 08 2024.

Tufanye yameisha.
Sawa. Uelewa wangu mdogo.
 
Wakikukamata wakakubaltazar usije kulaumu kuwa Wana jf hawakukupa msaada wowote.

Uko vizuri sana lkn punguza dharau, hazikusaidii.
Hiyo ndo taasisi inayopaswa kuwa na discipline ya hali ya juu.

Mimi Mtanzania mzalendo siyo adui yao.

Kwa nini wanifanyie mbaya?

Wakinifanyiq mbaya watakuwa wanathibitisha maoni yangu juu yao.
 
Kila nchi kuna regulations zinazoliongoza jeshi lake.

Inategemea hayo maandamano yalihusu nini.

Lakini kwa muktadha wa clip hii, hayo ni maandamano ya amani.

Hata kwetu, enzi za siasa za chama kimoja, wanajeshi walikuwa wakishiriki kwenye maandamano ya kisiasa.

Lakini kwenye mapinduzi ya kijeshi ama maasi ya kijeshi, wanajeshi hawawezi andamana hivyo bila silaha mikinoni.

Kwa hiyo, wanajeshi kuandamana hakumaanishi kupindua nchi ama kutwaa madaraka kwa nguvu.
 
Mwanaume una jiita Utamu/delicious sasa una tofauti gani wewe na James wa kinondoni ?
Pole kijana kama Jina ndio linakufanya mtu kua chakula au ubwabwa Ukute wewe ndio msosi sasa unajificha kwenye jina
 
Hakuna PM mwingine anayeweza kuiongoza Israel kama siyo Netanyahu!
Hajapatikana wa kumrithi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…