Post mortem results are gradually revealing the pathophysiology of covid 19 diseases

Post mortem results are gradually revealing the pathophysiology of covid 19 diseases

Vipi hii habari ni ya kweli? Mbona sioni popote ilipoandikwa? Siioni kwenye majarida ya kisayansi. Wala kwenye vyombo vya habari. Bado nchi zinaendelea na stockpiling ya ventilators kama kawaida. Bila shaka ni fake news nyingine tena. Hii ni hatari sana kwa sisi tunao hudumia wagonjwa. Tunaweza kuua kwa kutumia fake information kama hii badala ya kusaidia.
Mkuu taratibu za kitabibu huwekwa na WHO, sio jf, hapa ni kijiwe habari za humu nyingi Ni matangopori yenye lengo la mzaha, hivyo Kama wewe Ni daktari fuata mwongozo wa wizara au who.
 
Wewe ndiye uliyeiposti hapa. Twambie uliitoa wapi? Naelewa vizuri kuwepo kwa fake news. Na ndio maana nimekuwa nikiitafuta hii habari kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika lakini siipati.
Mkuu taratibu za kitabibu huwekwa na WHO, sio jf, hapa ni kijiwe habari za humu nyingi Ni matangopori yenye lengo la mzaha, hivyo Kama wewe Ni daktari fuata mwongozo wa wizara au who.
 
Wewe ndiye uliyeiposti hapa. Twambie uliitoa wapi? Naelewa vizuri fake news. Na ndio maana nimekuwa nikiitafuta hii habari kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika lakini siipati.
Sasa umeona hapa Ni mwongozo wa wizara ya afya? Kama wewe ni daktari utakuwa mtu wa hovyo Sana, beside Prof Sharif Sultan Ni Royal Surgeon na cardiologist anayeheshimika duniani na chapisho lake lipo kwenye official page yake unaweza ends jisomea na mengine mengi, pia unaweza ends YouTube anazo presentation nyingi kwenye global conference mbalimbali, hebu nawewe tuwekee chapisho lako hatamoja tuone Kama kweli kichwani zimo
 
Wee tukana tu lakini tuombe tu uzima. Kuna siku nitakupima tezi dume kwa kidole chenye glove (per rectal examination). Kama siyo mimi basi mwenzangu sehemu fulani. Halafu baada ya kupimwa utasema asante daktari. Mkiwa hapa JF mnajifanya wajuaji sana. Mimi nilichokuuliza ni source ya information yako. Lakini wewe umegeukia matusi. Yaani ukiwa daktari kazi yako ni kusoma miongozo ya wizara na WHO tu? Hairuhusiwi kusoma magazeti, machapisho ya kisayansi, siyo?

Hakuna ubishi kuhusu credential za mtu yeyote hapa. Ninachotafuta ni authenticity ya bandiko lako hapa. Huwezi kubandika tu hapa kitu ukaweka jina la mtu halafu ukategemea watu tuamini. Lazima niwe makini kutofautisha fake news and genuine news. Ndio maana kiungwana kabisa nikaomba source. Na hata watu wengine pia kwenye huu uzi wameombe source. Siyo mimi tu. Kama una paper yake iweke hapa ama weka link tusome huo utafiti wake na tumpime kama kweli results zina maana. Wala hakuna haja ya kuanza kutukanana hapa.

Sasa umeona hapa Ni mwongozo wa wizara ya afya? Kama wewe ni daktari utakuwa mtu wa hovyo Sana, beside Prof Sharif Sultan Ni Royal Surgeon na cardiologist anayeheshimika duniani na chapisho lake lipo kwenye official page yake unaweza ends jisomea na mengine mengi, pia unaweza ends YouTube anazo presentation nyingi kwenye global conference mbalimbali, hebu nawewe tuwekee chapisho lako hatamoja tuone Kama kweli kichwani zimo
 
Wee tukana tu lakini tuombe tu uzima. Kuna siku nitakupima tezi dume kwa kidole chenye glove (per rectal examination). Kama siyo mimi basi mwenzangu sehemu fulani. Halafu baada ya kupimwa utasema asante daktari. Mkiwa hapa JF mnajifanya wajuaji sana. Mimi nilichokuuliza ni source ya information yako. Lakini wewe umegeukia matusi. Yaani ukiwa daktari kazi yako ni kusoma miongozo ya wizara na WHO tu? Hairuhusiwi kusoma magazeti, machapisho ya kisayansi, siyo?

Hakuna ubishi kuhusu credential za mtu yeyote hapa. Ninachotafuta ni authenticity ya bandiko lako hapa. Huwezi kubandika tu hapa kitu ukaweka jina la mtu halafu ukategemea watu tuamini. Lazima niwe makini kutofautisha fake news and genuine news. Ndio maana kiungwana kabisa nikaomba source. Na hata watu wengine pia kwenye huu uzi wameombe source. Siyo mimi tu. Kama una paper yake iweke hapa ama weka link tusome huo utafiti wake na tumpime kama kweli results zina maana. Wala hakuna haja ya kuanza kutukanana hapa.
Soma uzi toka mwanzo link imeshawekwa na nimekuambia nenda official Facebook page ya Prof Sharif Sultan, tatizo lako umeanza na kebehi badala ya kutaka kufahamishwa,
 
Nimekuambia nenda youtube Google Prof Sharif sultan, halafu we dogo tusirishane ukiletwa segerea Mamie utanikuta nikupe jembe ukapalilie bilinganya
 
Back
Top Bottom