Kwa hiyo unaona ulichoandika kinaeleweka swaafiii.Weka picha ya Tanzania isiyooneshwa hapa labda Serikali ikafanya jambo .
Andika jina la sehemu ilipopigwa hii picha, kijiji, wilaya mkoa.
Anzisha Uzi wako uweke hayo mashariti lengo la kufanya hivi ni kutunza privacy za Victim (waathirika)Andika jina la sehemu ilipopigwa hii picha, kijiji, wilaya mkoa.
Watu wanaweza picha kumbe za Zairous
Kazi iendelee
Sasa mwanangu we unataka serikali iifanyie jambo hiyo picha au sehemu iliyopigwa hiyo picha?Anzisha Uzi wako uweke hayo mashariti lengo la kufanya hivi ni kutunza privacy za Victim (waathirika)
Then mbona upo negative Sana ,hii ni chuki ,hasira au jealous
Mkuu Mimi nishakusoma wewe ni negative person , so I can't urge with you anymore .Sasa mwanangu we unataka serikali iifanyie jambo hiyo picha au sehemu iliyopigwa hiyo picha?
Nimekosa mimi, nimekosa sana, naomba unisamehe.Mkuu Mimi nishakusoma wewe ni negative person , so I can't urge with you anymore .
Kama nimeanzisha wazo langu liache na wewe anzisha uzi wako itakuwa vizuri .