Universal-soldier
Member
- Dec 27, 2020
- 43
- 70
Hata Mimi siendagi huko. Nasubiri jibuKwan Domondi, kajibuje? Huko hatuendagi sisi.
Mbona anamwandiko mbaya hiviPost ya harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa instagram.
Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.
Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.
Katuangusha sana washabiki wake. Yaleyale ya Morrison!
Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram.
Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.
Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.
View attachment 1664708
Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram.
Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku ikiwavutia mastaa wengi ndani na nje ya nchi ambao wame appreciate kitu amefanya.
Hii yote inaonesha nguvu ya Diamond kwenye mitandao bongo sio ya kitoto.
View attachment 1664708
Naongelea likes sio viewsMange mbona alikuwa anagonga views hadi laki 5 Mkuu?
Dawa ya waimba taarabu ni kuwakaushia mpaka akili ziwakae sawa.Diamond alivo na karoho kagumu hatothubutu kujibu