Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 96
- 88
Habari wanajamii forum. Muda sasa nimekuwa nikisoma na kuandika hapa lakini nimekuja kugundua kuwa hii ndio post yangu iliyosomwa sana na wanajamii forum kwasababu hata wewe umeisoma post hii.
Lakini kuandika hapa inataka moyo sana hasa moyo wakishujaa maana Kuna watu ni wajuaji sana tena wa kila kitu ila leo nimewapata na wamesema na hata wakitukana najua watawekwa sawa maana hii ni jamvi huru na la kuaminika Siku njema
Lakini kuandika hapa inataka moyo sana hasa moyo wakishujaa maana Kuna watu ni wajuaji sana tena wa kila kitu ila leo nimewapata na wamesema na hata wakitukana najua watawekwa sawa maana hii ni jamvi huru na la kuaminika Siku njema