Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 96
- 88
Mara nyingi nimekuwa nikifatila uzi za hapa JF kuona kile kinachoendelea lakini nimegundua kuwa kuna uzi zinasomwa Sana hapa nakupata comments kubao.
Pia nimegundua mara nyingi uzi hizo nizile zinazogusa jamii hasa mambo yandani sana ya jamii pia maswala ya siasa huwa yanasomwa sana.
Je, wewe kwa upande wako unaona ni nyuzi ipi nyingine husima ukiiona tuu
Pia nimegundua mara nyingi uzi hizo nizile zinazogusa jamii hasa mambo yandani sana ya jamii pia maswala ya siasa huwa yanasomwa sana.
Je, wewe kwa upande wako unaona ni nyuzi ipi nyingine husima ukiiona tuu