2po mororgoro ndo tunaaandaa shortlis kuweni wapole,ila vimemo vya wakubwa kwanza
Hallo tumwombe Mungu kama anapenda utakuwapo tu ila nadhani bado hawajaitwa https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/eyebrows.gifjamani zile nafasi za kazi ambazo tuliomba TRA, shortlists bado au kama kawaida
Tuweke Dau kama kweli utajinyongaWakinitosa najinyonga teh teh
wewe jiminye kivyako usimwangalie mtu mwingine kama una sifa unapata. Mbona wachaga kibao tunaombaga hatupati ama hatuna sifaaaaaaaaa.waulizwe watu wa kilimanjaro ndo wenye tra.............wengine labda uwe umeoa kwao vinginevyo wanakwambia fyombo fya pea ni fyao wachagaaa,wapare,warombo......kishumundu
2po mororgoro ndo tunaaandaa shortlis kuweni wapole,ila vimemo vya wakubwa kwanza
vimemo viko 100,nafasi ziko 60