Post za tra

Post za tra

nyekelela

New Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
4
Reaction score
0
jamani zile nafasi za kazi ambazo tuliomba TRA, shortlists bado au kama kawaida
 
acha uzushi kijana hata shortlisting bado hizo nafaci nazifatilia kwa karibu sana na wakishortlist tutataarifiana ,ongea kitu chenye uhakika usiwadanganye wadau
 
2po mororgoro ndo tunaaandaa shortlis kuweni wapole,ila vimemo vya wakubwa kwanza
 
Bado hawajaita watu,kama ni hizi za juz juz kwa wale waliomaliza mwaka 2011 au before 2011 but wenye post.graduate,bado,lakin weken sm zenu hewani,msikose zali la mentali.cyo mnazima..teh teh

Bado wajamen.
 
Wengine hapa ni wapambe tu na kurushana roho.Hizi za mala ya mwisho watakua bado from source ya ukweli.
 
Waulizwe watu wa kilimanjaro ndo wenye tra.............wengine labda uwe umeoa kwao vinginevyo wanakwambia fyombo fya pea ni fyao wachagaaa,wapare,warombo......kishumundu
 
Acha haraka mkuu..mambo bado ndio tunaziandaa shortlists, tutawaita tu.
 
waulizwe watu wa kilimanjaro ndo wenye tra.............wengine labda uwe umeoa kwao vinginevyo wanakwambia fyombo fya pea ni fyao wachagaaa,wapare,warombo......kishumundu
wewe jiminye kivyako usimwangalie mtu mwingine kama una sifa unapata. Mbona wachaga kibao tunaombaga hatupati ama hatuna sifaaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom