Waulizwe watu wa kilimanjaro ndo wenye tra.............wengine labda uwe umeoa kwao vinginevyo wanakwambia fyombo fya pea ni fyao wachagaaa,wapare,warombo......kishumundu
Acha mtindio wa uzembe pale ni IFM, Mzumbe, CBE, Open na Tumaini kama Mlimani imekula kwako na wala sio kikabila hiyo kama unabisha weka uiiano kati ya vyuo na hiyo ya ukabila sijui ukanda