Post za tra

Post za tra

Mbona tayari watu waneanza kula Mshahara wa kwanza.....Pole tafuta sehemu nyingine......
 
Waulizwe watu wa kilimanjaro ndo wenye tra.............wengine labda uwe umeoa kwao vinginevyo wanakwambia fyombo fya pea ni fyao wachagaaa,wapare,warombo......kishumundu

Acha mtindio wa uzembe pale ni IFM, Mzumbe, CBE, Open na Tumaini kama Mlimani imekula kwako na wala sio kikabila hiyo kama unabisha weka uiiano kati ya vyuo na hiyo ya ukabila sijui ukanda
 
ukiona kimya ujue hata maombi yako hawakuyagusa walitia kwenye dust bin tu.undugu sana yan sijui wana nini hawa watu
 
Back
Top Bottom