Post

Joined
Aug 9, 2013
Posts
5
Reaction score
0
naomba kujua,kwa form 5 wa mwaka 2014 kama nataka kuhama shule watakayo nipangia utaratibu ni upi?
maana nataka kuhamia shule ya karibu na kwetu ambayo sikujaza awali
 
Sasa kama shule unayotaka kuamia ni Mzumbe/Kibaha !

Na wewe ulipata 3 !
Funguka vizuri kiongozi ! Shule ipi uliyo karibu nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…