Jerry amon kihundo
Member
- Aug 9, 2013
- 5
- 0
naomba kujua,kwa form 5 wa mwaka 2014 kama nataka kuhama shule watakayo nipangia utaratibu ni upi?
maana nataka kuhamia shule ya karibu na kwetu ambayo sikujaza awali
maana nataka kuhamia shule ya karibu na kwetu ambayo sikujaza awali