[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani yule mzee ametoa solution ya kijinga sana kwenye tatizo kubwa mnoo...!!Kwangu mie yule dogo siyo mzee hivyo nasema hivi time will tell. Wanaomshauri wasiwe kama wale waliokuwa wanamdanganya mwalimu wanapanda migomba barabarani ili akipita asifie kumbe inakauka kabla hajafika.
sasa hapa ndo ile sentesi "tutakuja elewana tu" inapoleta maana..wacha tuisome namba tuYule Mzee nilimsikiliza, pamoja na mimi ni CCM, ila hoja zake hazikuwa na mashiko, yaani alitamka kisiasa zaidi
Unaona sasa?Mmeanza kubadilisha maneno ili neno beberu likose maana na uhalisia.Na kuna mkuu mmoja bila aibu eti akaniuliza..."kama wao ni mabeberu na tunawatii,sisi ni mbuzi jinsi gani?"...Alinisikitisha mnoo hadi mapaja yalitetemeka.Mabeberu ya mbuzi nini? Siku hizi nasikia mabeberu, mabeberu... hata akina mama wameitwa mabeberu kwa kuwa na mawazo tofauti.
Yaani mzee wa Posta anataka kuipangia BoT. BoT yenyewe "inapangiwa". Mnaweza kujidanganya na kuamua "kuuza" dafu lenu kwa bei yoyote ila US$ ya watu mtainunua kwa bei iliyopangwa kwingine. Haya mambo hayahitaji mijiguvu na kutumia jeshi.Haya mambo kupata solution inabdi upunguze mihemko na hisiaa...
Hapo unapoitika ..."hoyeee au kigumu"...yakupasa uruke juu kama nguchiro mjane!
Posta walioshindwa hata kuendesha Duka la MPESA, Posta ambao zama za TMO ulikuwa unafika unakuta hawana cash, leo hii waweze biashara ya watu wa mjini
Siyo ngoja tuone mkuu.Ngoja tuumie.Ngoja tuone
[emoji3][emoji3]anaanzaje sasa wkt ana miaka 6 mbeleeeKwani raisi haruhusiwi kujiuzulu? Magu nchi imemshnda ajiuzulu kwa faida ya nchi
...Alinisikitisha mnoo hadi mapaja yalitetemeka.
Alikuwa anauota Urais halafu kirahisi tu auche mkate wa marehemu?Subwengeeee!Kwani raisi haruhusiwi kujiuzulu? Magu nchi imemshnda ajiuzulu kwa faida ya nchi
Alikuwa ni mwanamke.Ndiyo kiss cha sehemu ya mapaja yangu kuvimba na kutetemeka.Atakuwa handsome boy kwenye macho na ubongo wako
China wanaexport sana bidhaa kuliko kuimport, na bei za hizo bidhaa wanazishusha sana kiasi kwamba bidhaa za nje ya china zinakuwa so expensive....[emoji2][emoji2][emoji2]hii post inaichonganisha serikali na wananchi wake.inabidi wawaulize China wanafanyaje kubalance currency yao vs us $ mpaka wanamfanya Trump na US wanalialia sio kujifananisha na china kwenye mambo yasiyo na tija.
Yah wenyewe wana manupulate soko kuishusha currency yao anambania soko marekani ambaye $ ipo juu sio kama wanavyotaka kufanya huku kwetu kwa kupanga kama matofariChina wanaexport sana bidhaa kuliko kuimport, na bei za hizo bidhaa wanazishusha sana kiasi kwamba bidhaa za nje ya china zinakuwa so expensive....
Sent using Jamii Forums mobile app
Posta walioshindwa hata kuendesha Duka la MPESA, Posta ambao zama za TMO ulikuwa unafika unakuta hawana cash, leo hii waweze biashara ya watu wa mjini
Wakati anawazia kuwa watanzania wanapenda saaana watamuongezea muda wa uraisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wkt wengine tunaomba muda uishe atuondokee[emoji58][emoji58][emoji58][emoji849][emoji57]Kwani raisi haruhusiwi kujiuzulu? Magu nchi imemshnda ajiuzulu kwa faida ya nchi
Alikuwa ni mwanamke.Ndiyo kiss cha sehemu ya mapaja yangu kuvimba na kutetemeka.
Nimejitahidi kukujibu kwa tahadhari na staha lakini umekuwa mjinga sana.Mimi ni sawa na baba yako pakashume weye!Kwa hiyo baba yako anapenda watu wa jinsi yake wakati mama yako anachambua dengu?Basi inaonekana wewe unapenda wale wa jinsia moja;-).