macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kimsingi taasisi, mashirika ya umma, wizara na idara zake kila kitu kinaendeshwa kijima. Bado wapo miaka ya 1970 na mbaya zaidi wana urasimu wa hali ya juu. Kuibadilisha Tanzania inahitaji operation kali sana. Watu hawajali na wanaenda kazini ili kuhesabiwa tu na siyo kufanya kazi.Posta ya Tz ni taasisi fulani hivi ya kijima, genge la vibaka na upuuzi mwingine mwingi.