Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Wanasema shamba la bibi hauhitaji ruhusa kuvuna.
Leo nimepokea ujumbe wa SMS kuhusu postcode, ikinitaka kubonyeza *152*00# ili kuona posti kodi yangu. Ajabu ni kuwa postcode hii ni sawa na iliyotumika katika NIDA, najiuliza kwa serikali itumie pesa kufanya jambo ambalo tayari lipo katika mfumo.
Ukiangalia NIDA yako, baada ya tarehe ya kuzaliwa zinafuata namba 5 ambazo ndizi PostCode zako na zinaeleza vizuri unapatikana wapi. Suala ingekuja na namna ya street address ambayo kwa nchi yetu bado sana.
Baadhi ya Viongozi hukimbilia kutoa mifano ya nchi nyingine lakini hawaangalii usawa wa nchi masikini kama TZ na hizo nchi wanazosema. Inasikitisha sana.
Leo nimepokea ujumbe wa SMS kuhusu postcode, ikinitaka kubonyeza *152*00# ili kuona posti kodi yangu. Ajabu ni kuwa postcode hii ni sawa na iliyotumika katika NIDA, najiuliza kwa serikali itumie pesa kufanya jambo ambalo tayari lipo katika mfumo.
Ukiangalia NIDA yako, baada ya tarehe ya kuzaliwa zinafuata namba 5 ambazo ndizi PostCode zako na zinaeleza vizuri unapatikana wapi. Suala ingekuja na namna ya street address ambayo kwa nchi yetu bado sana.
Baadhi ya Viongozi hukimbilia kutoa mifano ya nchi nyingine lakini hawaangalii usawa wa nchi masikini kama TZ na hizo nchi wanazosema. Inasikitisha sana.