Posts za A-level zitatoka lini?

Pundo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
2,390
Reaction score
3,308
Wengine wanasema mpaka mwezi wa 6 bt bado tupo njia panda ukizingatia nyumbani tushakuwa bored. Baci mwenye habari zaidi atujuze.
 
kama umefaulu vzr ucwaze post bado sana mpaka mwezi wa 7 ndo mtapata
post za kujiunga na A-LEVEL.....
kwa ushaur wangu km unampango wa kusoma tuition soma baba
 
kama umefaulu vzr ucwaze post bado sana mpaka mwezi wa 7 ndo mtapata
post za kujiunga na A-LEVEL.....
kwa ushaur wangu km unampango wa kusoma tuition soma baba
Ahsante mdau bt mwez wa 7 ndo skonga en post huwa zinatoka be4 ya mwez 7.
 
Vuteni subira wadau kwa kuanza kukomaa kuanzia time ii coz post zinatoka siku chache kabla ya shule kufunguliwa'mwezi wa saba'
 
shule tunazifunga hakuna chakula, sasa nyie mnataka mwende akafe njaa? Acheni kutupa ugonjwa wa moyo subirini tumalizane na wazabuni kwanza!

Kuweni na adabu.
 
Wengine wanasema mpaka mwezi wa 6 bt bado tupo njia panda ukizingatia nyumbani tushakuwa bored. Baci mwenye habari zaidi atujuze.

mda bado. .usiwe na haraka zitatoka tu.
kama umefaulu we kula tu bhata kwenu maana A Level sio mchezo hasa sayansi mbona utakumbuka kwenu....
 
mda bado. .usiwe na haraka zitatoka tu.
kama umefaulu we kula tu bhata kwenu maana A Level sio mchezo hasa sayansi mbona utakumbuka kwenu....
Ha ha! unanitisha mkuu.
 
shule tunazifunga hakuna chakula, sasa nyie mnataka mwende akafe njaa? Acheni kutupa ugonjwa wa moyo subirini tumalizane na wazabuni kwanza!

Kuweni na adabu.
kama ndo ivo tutaenda Private.
 
Mkuu nakushaur tumia mda huu kufanya mambo ya msing..mfan kusom tuition angalau uanz kupat pich jinc A-level ilivyo.
Pia wawez jifunz driving upate lesen yako..hii itakusaidia badae.
Kuliko kukaa nyumban na kusubir post...
 
Mkuu nakushaur tumia mda huu kufanya mambo ya msing..mfan kusom tuition angalau uanz kupat pich jinc A-level ilivyo.
Pia wawez jifunz driving upate lesen yako..hii itakuasaidia badae.
Kiliko kikaa nyumban na kusubir post...
Umeongea point mdau.
 
Mpaka waalimu waajiriwe ndo zitatoka nani ataenda kuwafundisha huko wakati shule hazina walimu wa kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…