Wadau naomba kujuzwa kama majina ya diploma in nursing, clinical officer selikalini kama yalishatoka, plz naomba nijuzwe,npo serious, nina mdogo wangu yupo kitaa ila aliomba.
Hivi wizara ya afya ipo maeneo ya wapi?Nahic nikienda kuwauliza kulikoni watakuwa na majibu ya uhakika kuliko tetesi tetesi za kila leo.Anaepajua anielekeze ili kesho niende