Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 445
Hi Wana jamvi, nimeperuzi website ya ministry of education na kutazama post za ualimu! Wapo wengi ambao majina hayaonekani/hawakuchaguliwa.
Je, kuna utaratibu wa second selection?
Je, kuna utaratibu wa second selection?