Poverty in USA

Poverty in USA

Mkuu yako mageto ambayo mwaweza share na jamaa wengine, mfano mwaweza kuwa watatu au wawili mkalipa rial 300 kwa mwezi, ukitaka appartment ndo bei kidogo hadi usd 100 kwa mwezi na una enjoy furesh ..vip mzee nataka kuja karibu sana life is good here and no one care[emoji3][emoji3][emoji3]

Upo serious mkuu? mbona cheap sana? UAE jasho la meno litakutoka kwenye ishu ya kodi
 
Mkuu yako mageto ambayo mwaweza share na jamaa wengine, mfano mwaweza kuwa watatu au wawili mkalipa rial 300 kwa mwezi, ukitaka appartment ndo bei kidogo hadi usd 100 kwa mwezi na una enjoy furesh ..vip mzee nataka kuja karibu sana life is good here and no one care[emoji3][emoji3][emoji3]
Gharama za visa na air ticket inaweza kucost kiasi gani kwa ujumla wake !?
 
Back
Top Bottom