Kwa Cc Watuwazima, Inaonyesha Flora Alimpenda Sn Mbasha, Wala Huyo Mwanaume Alienae Ss Ni Wakudanganyishia Umma Ionekane Ame Move On, Bt Hajafanikiwa Kureplace Nafac Ya Mbasha. She's A Looser. Mm Inanikutaga Sometymes Kwa Mzaz Mwenzangu, Toka Tuachane Ni Mwaka Wa Pili Ss, Lkn Cku Akijikia Anantumia Msg Za Matusi Hadi Nakoma. Sema Napuuzia Najua Wanawake Ni Viumbe Dhaifu Na Namuombea Kwa Mungu Ampe Htaj La Moyo Wake Maana Ni Km Kachanganyikiwa. Namshauri Mbasha Asishndane Na Mwanamke Kwan Wametoka Ubavuni Mwetu. Ukishindana Nao Kwanza Unamnyanyasa Kijinsia Kwan Wao Ni Dhaifu Kuliko Cc Na Pili Tutakua Tunamkosea Mungu Kwan Tumeambiwa Tuwatawale. So Kukaa Kmya Ndo Kutawala Kwenyewe.