idungusi
Senior Member
- Jan 8, 2016
- 151
- 76
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwanamke uliyekomaa katika maadili ya ndoa. Hongera sana.Hawa nao,kwani inakatazwa kufanya tendo la ndoa mtu akiwa kwenye siku zake?Si anajisafisha vizuri tu jamani then anampa mmewe?kuna ubaya gani kwani.Hawa nao sijui wakoje ndo nini kutoleana mambo yenu mliyokuwa mkifanya mkiwa mnapendana?Si waangalie yaliyopo?Yaliyopita wayaache huko huko kwenye ndoa yao ya zamani.
Kaa ni mjigho! hahahahah
“Yaani yule mwanamke sijui bana, Mungu amsaidie. Yaani kwanza wakati mimi naanza kumfuatilia, huwezi kuamini, alikuwa na mwanaume mwingine.
Flora ni chuma chakavuTatizo LA kuoa msichana alietumika ndo hili.
Yaaan me kwa mwendo huu naweza nisioe coz me akinizingua nampa kichapo
Anatutaarifu kuwa alizini na mke wa mtu basi ikawa sababu ya kuivunja ndoa.Ooooh Boy...[emoji87]
Wako na nani?Watumishi wetu wa Mungu hawa