BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Watu wa nchi ipiAli ni kipenzi cha watu.
Lakini angalia maisha ya k lynn na jinsi anavyoji behave.. then compare...akili kumkichwa.Ulitaka na yeye apate babu kama K Lynn?!
Kwaio wewe hapo ulipo.hujasoma hata hujui mlango wa darasa upoje, sio?!Elimu aina faida yoyote kwenye akili za mtu.
Lipumba na kuwa professor ila mambo anayofanya hata mtoto wa form 4 anamtoa akili.
Nilisoma sehemu fb na ista mda kidogoUmesikia kwa nani
We msomali..wanaume sisi tunapishana tabia ujueBut pia Kiba alikwenda kwa gia hio hio ujue[emoji4]
Baada ya kutosheka akasepa kwa dharau....ila co vizuri wanaume Mnachofanya Mungu Anawaona[emoji36] [emoji23]
Wapi Harmorapa ajitwalie mzigo maana unaonekana wa burebure huu!Wasallam wanajukwaa,
Katika pita pita zangu za mitandaoni nimekutana na messages hizi za mlimbwende jokate za kunyapia nyapia zinasema eti ni dongo kwa manager wa mpenzi wake kuonekana ku manage mpaka dushe wajuzi tililikeni hapa.
Kwenye ile thread ya Kate kuchuniwa nililazimika tu kumtetea Kiba na familia yake kwamba kimaadili ya Kiafrika walilazimika kufanya walichomfanyia kwa sababu hawa still ni mahawala!! Lakini deep inside my heart nafahamu kabisa waliamua tu kumlia buyu!! Nilisikia clip ya Soud Brown akimuhoji Kiba kuhusu hii issue... yaani haonekani ku-regret hata kidogo! Nilitarajia lile jibu la ujanja ujanja nililotoa mimi hapa JF; ndo angetoa yeye; lakini wapi!!Kazi ipo matokeo yake sasa ndo ilivo kuwa. Yani kwenye hyo party jinsi joketi alivochuniwa maskini ka hawamjui vile na kukanwa juu, mi sijawahi kumshobokea mtu kiasi cha joketi had kudhalilika labda kimiujiuza.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Dunia ya kizaman na yakileoWatu wa nchi ipi
YesMhagama mkuu??
Kayakosea maisha acha yamuadhibu tu..
Diamond Platinumz
Hashim Thabit
Ali Kiba
Mtake radhi Jojo, hawa ni wanaume ambao wameinspire vijana wengi kua - it's possible, and it can be done. Najua tunatofautiana sana kimtazamo, lkn kiuhalisia hawa si 'wanaume suruali'.
Kwakweli hata mimi nahisi nilikuwa nawapenda wanaume wa hovyo hovyo.Na siku zote Wasomi hushindwa kuchagua Wapenzi wazuri na chunguza utagundua kuwa Wasomi wote wameoa au wameolewa na Wapenzi wa hovyo hovyo hadi unashindwa kuamini wakati wanawachagua Usomi wao ulikuwa wapi!
Kwani na wewe ni msomi? Level ya lipumba au bashite?Kwakweli hata mimi nahisi nilikuwa nawapenda wanaume wa hovyo hovyo.
Hahaaa.. Unataka kunidai vyeti au?Kwani na wewe ni msomi? Level ya lipumba au bashite?
UmepuyangaElimu inampa mtu ujuzi, hekima na kuongeza busara. Aliyeelimika anategemewa kuji-conduct tofauti na asiye na elimu.
Lipumba aliona 'mwanya' akautumia, pengine elimu yake ilimsaidia. Ndio maana ukiwa na hela halafu huna elimu, utafilisiwa na wenye elimu.