Povu la Sallam wa WCB Kwa Watu Wasiojulikana!!

Diamond kafungiwa nyimbo zake yeye na timu nzima ya wcb pale clouds media....na ishu kubwa sababu anakuja na mikakati ya kusaidia muziki wa bongofleva....soon atakuja na mambo yake kwenye entertainment ndio utaelewa vizuri hii picha..
Fafanua
 
Naomba nirudie Comment yangu Diamond platnumz ndio msaanii wa kwanza Afrika Mashariki anaziangusha Media na kuendelea kusimama mwenyewe Ahsante Chibu endelea kuwakomboa Wasanii wenzio kifikira na kuufanya Muziki biashara kama nchi zingine zilivyoendelea katika Tasnia hii.
 
Mkuu tuache unafki..

Diamond kashuka sana kimuziki,kwa sasa anatamba na skendo za insta za kula mademu wakali..

Hivi Diamond anatoa wimbo na Rick Ross alafu unabuma.??huyu sio Diaomond tuliyemzoea..

Tatizo linalomuangusha ni huyu Sallam kazidi sana uswahili hadi anakera,.

Kuna siku aliwahi kuropoka eti "Alipofikia Diamond kwa sasa hawezi tena kufanya shoo za ndani ya nchi"..

Umeona ushamba huo sasa.! Akina Wizkid hawafanyi shoo Nigeria kwani.??????

Dogo anajipalilia kaburi lake mwenyewe..


Infact kwa sasa mimi sitamuunga mkono msanii yeyote atakayepamba na Clouds media kwasbabu wakina Sugu walijitahidi sana na Jaydee alafu hawa wakina Diamond walikuwa upande wa Clouds leo hii wanajifanya ndiyo wanaelewa kwamba Sugu na Jide waliona mbali..
 


Kama diamond kashuka nani yupo juu yake mbunye wewe...acha roho ya kimaskini, mtu anafanya show ya million 100 unasema kashuka nan atampa hiyo hela jst mtu aliyeshuka..jielewe pambana na hali yako diamond kafika hapo bila wewe kumpigania ss akuitaji ata sasa ana watu wake tunamkubali tutamsapoti mpk mwisho
 
Leta facts mkuu yeye anawapisha Wasanii wake katika soko la Muziki ila bado hajashuka pia Wizkid kufanya show kwao sio kosa maana wanaomiliki Radio na Tv Nigeria wanajitambua wanazipa Airtime sana nyimbo za wasanii wa kwao ila huku kwetu Majungu eti mpaka ukaitambulishe kwani Davido nyimbo zake anakuja kuzitambulisha au Skendo za akina Diamond platnumz wanapozirusha huwa wanapeleka wenyewe? Muda wao umefika kwishineeeiiii.
 
Kwa hili la kuwapinga clouds hata mi namsapoti domo aendelee na harakt hizo coz clouds wanajiona mungu mt pumbaaaf wanajifanya vicheche wamekutana na rungu la kipepe
 
Nazani ilikuwa ni case ya shigongo vs bab tale kuhusu wasanii wao kukataa show yenye malipo kidogo... na kuwa dai pesa shigongo na global.... kama nitakuwa nime changanya au kukosea tulekebishane au kukumbushana
 
kusaga yupo na busness na mond... huku mond ana bifu na ruge.... ahahahahahahaha biashara hizi...
 
kibuli sio maungwana.... umungu mtu sio kitu kizuri... hakuna marefu yasiyo na ncha.... kuna efm, etv, wasafi fm na tv... blogs, youtubes, kuna channels za nje...

hata pale katazo la mh. kutaka maadili yawepo katk video, ndio kwanza kijana kaweka kavideo kake na rick ross, huku ray v na makulusa yake... nazani hapa aliamini hata kama watafungia soko lake ni mbele sio kurudi nyuma tena na kuanza upya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…