Povu langu nisiye na nyumba

Povu langu nisiye na nyumba

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Hata siwasalimii...... hivi nyie mliofanikiwa kujenga mkoje lakini? Mbona mnajifanya kama vile mlitoka tumboni kwa mama zenu na cement mkononi, mmefika tu duniani na kuanza ujenzi, sio kudolishia huko na hapo utakuta kinyumba chenyewe cha kawaidaaa tu mxyuuu (japo mie hata nyumba isio na mlango tu sina 😂 )

Nnaowaongelea hapa hata sio wapokea kodi wetu, ila ni wapenzi watazamaji tu ambao wapo interested na kujua wapi tunalaza vitambi vyetu, kuna vitu kabla haujaongea hebu jiulize mara mbili unaemwambia kitamgusa vipi, imagine unakutana na Mimi sasa nakuuliza mwanao anasoma shule gani unanijibu chaurembo secondary halafu nianze kukushangaa haaa unamsomeshaje huko mie siwezi asee wangu yupo st nanii huko hivo utajisikiaje?

Au mtu anakuuliza unafanya kazi gani, unawezaje kufanya hiyo kazi mie siwezi mxyuuuuuuuuuu

Hivi ushawahi kukutana na kejeli za wenye nyumba? Usiombe awe kakupa na lift jamani utatamani upenye dirishani sijui gari lina dirisha sijui mlango eeh hapo hapo. Swali linaanza kama pepa la hesabu, unapokaa umejenga, ukijibu tu nimepanga. Cha kwanza atakutolea mijicho, ndio aanze kushangaa sasa heeeee yani umepanga mi siwezi nna nyumba mbili siwezi kabisa kupanga yani kodi hapana dah siwezi pyeeeee kajambe kule bana hata Kobe na konokono wana nyumba zao tena wao wanatembea nazo kabisa na hawana hata makuu, ndio sijajenga sasa ka vipi nijengee. Mafao yenyewe tu nikistaafu nitayanywaaaa yani ntafunga bar!

Povu povu tu.😏
 
Wenye nyumba nawapenda sana.wana roho nzuri sana,ukimlipa kodi yake tu
1.unaingiza totoz unazotaka,maza haus anabakia kusema tu, we kijana utaoa kweli,sasa unampenda yupi,maana nimewaona umeleta zaidi ya 7 humu
 
Hata siwasalimii...... hivi nyie mliofanikiwa kujenga mkoje lakini? Mbona mnajifanya kama vile mlitoka tumboni kwa mama zenu na cement mkononi, mmefika tu duniani na kuanza ujenzi, sio kudolishia huko na hapo utakuta kinyumba chenyewe cha kawaidaaa tu mxyuuu (japo mie hata nyumba isio na mlango tu sina 😂 )

Hivi ushawahi kukutana na kejeli za wenye nyumba? Usiombe awe kakupa na lift jamani utatamani upenye dirishani sijui gari lina dirisha sijui mlango eeh hapo hapo. Swali linaanza kama pepa la hesabu, unapokaa umejenga, ukijibu tu nimepanga...cha kwanza atakutolea mijicho, ndio aanze kushangaa sasa heeeee yani umepanga mi siwezi nna nyumba mbili siwezi kabisa kupanga yani kodi hapana dah siwezi pyeeeee kajambe kule bana hata Kobe na konokono wana nyumba zao tena wao wanatembea nazo kabisa na hawana hata makuu, ndio sijajenga sasa ka vipi nijengee....mafao yenyewe tu nikistaafu nitayanywaaaa yani ntafunga bar!!!!!!
Povu povu tu.😏
hivi kuna anaelala chini ya mti tanzania hii eti kakosa nyumba?
 
Yani hii kasumba ya kujenga ni shida! Mtu yuko radhi aishi 3 hours kutoka eneo lake la kazi in the middle of nowhere na atumie 4,000/= nauli kwa siku ili tu aweze kujigamba kuwa anaishi kwake! A lot of time and money wasted! Nyumba yenyewe ingekuwa coursework tungesema INCOMPLETE wanaishi kama mashetani hamna hata plaster wala umeme!

All for what? Jenga mdogo mdogo hamia kwenye nyumba baada ya location yake kuwa imechangamka na yenyewe kuwa imeisha.
 
mi bado najenga mwili soon nitaanza nyumba mambo yakikubalii
Hata siwasalimii...... hivi nyie mliofanikiwa kujenga mkoje lakini? Mbona mnajifanya kama vile mlitoka tumboni kwa mama zenu na cement mkononi, mmefika tu duniani na kuanza ujenzi, sio kudolishia huko na hapo utakuta kinyumba chenyewe cha kawaidaaa tu mxyuuu (japo mie hata nyumba isio na mlango tu sina [emoji23] )

Hivi ushawahi kukutana na kejeli za wenye nyumba? Usiombe awe kakupa na lift jamani utatamani upenye dirishani sijui gari lina dirisha sijui mlango eeh hapo hapo. Swali linaanza kama pepa la hesabu, unapokaa umejenga, ukijibu tu nimepanga...cha kwanza atakutolea mijicho, ndio aanze kushangaa sasa heeeee yani umepanga mi siwezi nna nyumba mbili siwezi kabisa kupanga yani kodi hapana dah siwezi pyeeeee kajambe kule bana hata Kobe na konokono wana nyumba zao tena wao wanatembea nazo kabisa na hawana hata makuu, ndio sijajenga sasa ka vipi nijengee....mafao yenyewe tu nikistaafu nitayanywaaaa yani ntafunga bar!!!!!!
Povu povu tu.[emoji57]
 
Yani hii kasumba ya kujenga ni shida! Mtu yuko radhi aishi 3 hours kutoka eneo lake la kazi in the middle of nowhere na atumie 4,000/= nauli kwa siku ili tu aweze kujigamba kuwa anaishi kwake! A lot of time and money wasted! Nyumba yenyewe ingekuwa coursework tungesema INCOMPLETE wanaishi kama mashetani hamna hata plaster wala umeme!

All for what? Jenga mdogo mdogo hamia kwenye nyumba baada ya location yake kuwa imechangamka na yenyewe kuwa imeisha.
Duuuh....tusio na mpango wa kujenga tu comment wapi?
 
Mkuu,maza haus wangu hana noma,namuona kama bi mkubwa wangu tu,samtaim akikorofisha misosi hevi nikiwepo anawapa mabinti zake waniletee,mmoja yuko form one mwingine form five na wala sina mpango wa kuwagonga,na hua wanakaa sana room kwangu kuangalia season.
Wananiita brother bonge.
 
Back
Top Bottom