Hata akiniblock hainipunguzii kitu πππIla wewe dogo nimnafiki sana... Ila bby wangu evelyn nimemuomba asiku'block
Mdogo wangu kesi na shem wako tumeshamaliza PM nimelia sanaππππ hadi nikabubujikwa na machozi kukuombea msamaha.πͺHata akiniblock hainipunguzii kitu πππ
Unafki wangu upo wapi hapo acha kunisingizia mkuu
Unaniombea msamaha wa kosa gani nililofanya!!!Mdogo kesi tumeshamaliza PM nimelia sanaππππ hadi nikabubujikwa na ma hozi kukuombea msamaha.πͺ
Mimi nilipopata kazi, cha kwanza nilipanga na baadae kununua gari. Watu ee unanunua gari hata kiwanja huna. Nikawaambia ni maamuzi yangu kwani kiwanja hakitanipeleka kazini. Nikawaambia ,kama nimeweza kupanga na kununua gari kiwanja nitanunua na kujenga pia maana Mungu si Athumani.Kwahiyo niishi kama digidigi for 10 long years sacrificing my quality of life in the hope ya kujenga nyumba ya KAWAIDA, ambayo sitakuwa naifurahia for the rest of my life there, hivyo niendelee kuishi kama digidigi kwa miaka yangu ijayo?
Kwanini hiyo miaka kumi ambayo nina nguvu na akili inachaji nisiitumie kufocus kwenye kutengeneza mpunga mrefu huku nikipumzika mahala pazuri kufacilitate process hiyo, na kisha nitakapokuwa na uwezo nijenge nyumba ninayoweza kuifurahia?
Kuna ndugu yangu mdada alilnunuliwa silmu 2 ,iPhone na sumsung S24, jumla M7, wakwe zake wanamsema unatembea na kiwanja mkononi. Ila maskini mume kafa amebaki kulia tu mwaka unaisha sasa.@evelyn salt hebu ukuje useme simu yako tofali ngapi?
Ila haya maisha jamani khaaah!!
Kumbe we jike!umeolewa
Huyo binti yuko vizuri ningekuwa kijana ningeKumbe we jike!
Hahaha weeehHuyo binti yuko vizuri ningekuwa kijana ninge
fanya namna nimvishe Pete.
Ile nyumba yako umeuza?Hata siwasalimii...... hivi nyie mliofanikiwa kujenga mkoje lakini? Mbona mnajifanya kama vile mlitoka tumboni kwa mama zenu na cement mkononi, mmefika tu duniani na kuanza ujenzi, sio kudolishia huko na hapo utakuta kinyumba chenyewe cha kawaidaaa tu mxyuuu (japo mie hata nyumba isio na mlango tu sina π )
Nnaowaongelea hapa hata sio wapokea kodi wetu, ila ni wapenzi watazamaji tu ambao wapo interested na kujua wapi tunalaza vitambi vyetu, kuna vitu kabla haujaongea hebu jiulize mara mbili unaemwambia kitamgusa vipi, imagine unakutana na Mimi sasa nakuuliza mwanao anasoma shule gani unanijibu chaurembo secondary halafu nianze kukushangaa haaa unamsomeshaje huko mie siwezi asee wangu yupo st nanii huko hivo utajisikiaje?
Au mtu anakuuliza unafanya kazi gani, unawezaje kufanya hiyo kazi mie siwezi mxyuuuuuuuuuu
Hivi ushawahi kukutana na kejeli za wenye nyumba? Usiombe awe kakupa na lift jamani utatamani upenye dirishani sijui gari lina dirisha sijui mlango eeh hapo hapo. Swali linaanza kama pepa la hesabu, unapokaa umejenga, ukijibu tu nimepanga. Cha kwanza atakutolea mijicho, ndio aanze kushangaa sasa heeeee yani umepanga mi siwezi nna nyumba mbili siwezi kabisa kupanga yani kodi hapana dah siwezi pyeeeee kajambe kule bana hata Kobe na konokono wana nyumba zao tena wao wanatembea nazo kabisa na hawana hata makuu, ndio sijajenga sasa ka vipi nijengee. Mafao yenyewe tu nikistaafu nitayanywaaaa yani ntafunga bar!
Povu povu tu.π