Povu langu nisiye na nyumba

Ila wewe dogo nimnafiki sana... Ila bby wangu evelyn nimemuomba asiku'block
Hata akiniblock hainipunguzii kitu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Unafki wangu upo wapi hapo acha kunisingizia mkuu
 
Hata akiniblock hainipunguzii kitu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Unafki wangu upo wapi hapo acha kunisingizia mkuu
Mdogo wangu kesi na shem wako tumeshamaliza PM nimelia sana😭😭😭😭 hadi nikabubujikwa na machozi kukuombea msamaha.πŸ’ͺ
 
Mdogo kesi tumeshamaliza PM nimelia sana😭😭😭😭 hadi nikabubujikwa na ma hozi kukuombea msamaha.πŸ’ͺ
Unaniombea msamaha wa kosa gani nililofanya!!!

Nilitegemea upo pm yake kumtongoza mkuu sio kuniombea msamaha mimi
 
Mimi nilipopata kazi, cha kwanza nilipanga na baadae kununua gari. Watu ee unanunua gari hata kiwanja huna. Nikawaambia ni maamuzi yangu kwani kiwanja hakitanipeleka kazini. Nikawaambia ,kama nimeweza kupanga na kununua gari kiwanja nitanunua na kujenga pia maana Mungu si Athumani.
Nimejenga tena si kwa kujibana kuishi maisha ya dhiki na kushinda njaa, mdogo mdogo.
Sipendi mambo ya kuulizwa sijui umejenga, una mtoto, umeolewa maana mimi huwa sipendi kuuliza mambo hayo.
Utamaduni mbaya sana wa kutaka kujua mambo ya watu ili kwenda kusambaza umbea.
 
Kaka ukiona tu mwanaume kafikia haya we Kua tu mpole 🀣🀣
 

Attachments

  • 20241216_155230.jpg
    835.7 KB · Views: 1
@evelyn salt hebu ukuje useme simu yako tofali ngapi?

Ila haya maisha jamani khaaah!!
Kuna ndugu yangu mdada alilnunuliwa silmu 2 ,iPhone na sumsung S24, jumla M7, wakwe zake wanamsema unatembea na kiwanja mkononi. Ila maskini mume kafa amebaki kulia tu mwaka unaisha sasa.
 
Aisee, kudaiwa kodi raha sana...kama vile kudaiwa bia!
Siku ya kulipa Landlord anavyochekelea pale unapomuhesabia....Acha tutembee na nyumba zetu mfukoni; leo Mbagala kesho Kigamboni...ukichoka jiji unalaza pande za Picha ya Ndege!
 
Ile nyumba yako umeuza?
 
Masimango hayaishi, utaulizwa Tena mbona umejenga mbali hivi? Huku hata kiwanja Bure sitaki. Mbona umejenga mtindo wa kishamba? Kwa nini hukuomba ushauri?....basi tu kuhakikisha hupati amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…