mimi ela
Senior Member
- Nov 9, 2017
- 162
- 92
Nikakaa nikawaza nkicheki uku chitchat nyuzi zingine haziishi,ka ile ya kukoment afu unapata likes. ,
Af Beira boy naye anarusha na mwenzie hr666..(af hr yule afisa mikopo walimtumbua af cha ajabu ile nyuzi yako sikuisoma ila za ajabu ajabu zooote nasoma)basi bana..afu kuna uyu DJ sepetu hhaahhha watu wana vituko.
Wengine wanaharibu nyuzi unakuta mtu analeta mambo ya viwanda uzi wa kumuusu mange apo ndo utafurahi na nafsi yako...naishia hapo
Af Beira boy naye anarusha na mwenzie hr666..(af hr yule afisa mikopo walimtumbua af cha ajabu ile nyuzi yako sikuisoma ila za ajabu ajabu zooote nasoma)basi bana..afu kuna uyu DJ sepetu hhaahhha watu wana vituko.
Wengine wanaharibu nyuzi unakuta mtu analeta mambo ya viwanda uzi wa kumuusu mange apo ndo utafurahi na nafsi yako...naishia hapo