Kwanza nashangaa sana huyo Hamisa ana jiangaisha sana kama ana pendwa kiasi hicho mpaka ana pewa mimba mbona awekwi hadharani na baba wa mtoto.... Nina hakika aliyempa mimba Hamisa si Diamond.....Hamisa ana tafuta kiki tuuHata mimi nisingekubali such humiliation, mmmnh yaani watu wanajua ku strain ndoa za watu. Kha
Bac kama ndo hivyo na Hamisa mie halali wa Daiyaani wewe ni mpka u sign,zile karatasi eeh?
Huwezi kuwa na uhakika mkuu..Kwanza nashangaa sana huyo Hamisa ana jiangaisha sana kama ana pendwa kiasi hicho mpaka ana pewa mimba mbona awekwi hadharani na baba wa mtoto.... Nina hakika aliyempa mimba Hamisa si Diamond.....Hamisa ana tafuta kiki tuu
Yeye ndio cheap namba 1 maana mama mzima na watoto baleeh unachezewa matako unarusha kwenye mitandao tena na mtoto ulomzidi miaka 10[emoji23][emoji23]
Pita ivleta nyuzi za habari ulizozisaka mwenyewe Sio kukopy insta na kupaste here
Mwambie Hamisa atafute baba wa mtoto. Nyie mtaota tu kuona Zari na Daimond wameeachana. Yaani yule Mange ni wivu kupita, mwambie azirushe hizo picha Kama anazo. Huyo Hamisa anahangaika tu mwanamke anaroho mbaya kutaka kuharibu familia ya mwanamke mwenzio. Huyo Mange yuko so thirsty.Hahaa yaani huyu bibi bomba atakuja kufa kwa presha yaani hajuagi kumezea vitu sasa na mtoto akishawekwa hadharani c atajitia kitanzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko Instagram page moja ya kishilawadu imajaribu kumuhusisha mtoto tiffah na kichanga cha hamisa mobetto basi zari ikamfika hapa, basi povuuuu ziiiito limemtoka ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe kama una mimba changa kamtafute aliyekupa umpelekee stress zako....me nipishe hapaUmeenda ku edit upupu wako.
Wew kwanini umesoma uzi wake ?Hizi CHEAP NEWZ tumezikimbia huko insta na fb.Pliz mtoa mada tuwe na utofauti basi kati yetu na hao wa huko
Hater skwa hiyo huyo tiffa yupo level za watu ambao wakifa wanapaa kama yesu ama? .....kama kweli ni wa daimond basi wote ni sawa na daimond ni free meat hajafunga ndoa na mtu yeyote aweza kuzaa naye...