Povu zitooo lamtoka zari the boss lady baada ya mtoto wake tiffah kuhusishwa na ishu za mtoto wa hamissa mobetto

Povu zitooo lamtoka zari the boss lady baada ya mtoto wake tiffah kuhusishwa na ishu za mtoto wa hamissa mobetto

Huy zari nae aache dharau, huyu aliachwa na Ivan akakosa wa kumtia akaanza kujitia na matoi sasa baada ya kumpata Dai ndio anajishebeua K yenyewe ameshaichezea na miplastic huo uspecial unatoka wapi?
Watu mnamponda zari bure anahaki kama mama kumlinda mwanae... mbona nyie mnalindaga wenu na kumwambia usile kwa watu je wewe chakula chako akipata haja anakojoa juice na kunya keki? Nimfano sioni baya kwa zari hata me ningembarasa tu
 
Watu mnamponda zari bure anahaki kama mama kumlinda mwanae... mbona nyie mnalindaga wenu na kumwambia usile kwa watu je wewe chakula chako akipata haja anakojoa juice na kunya keki? Nimfano sioni baya kwa zari hata me ningembarasa tu
Sijawahi kumuona mtoto wangu ni bora kuliko wa mwingine hata wazo hilo sijawahi kuwa nalo, watoto wote ni sawa hata kama ni wa tandale na masaki, hasira za wazazi zisiwe chukizo kwa watoto.
 
Sijawahi kumuona mtoto wangu ni bora kuliko wa mwingine hata wazo hilo sijawahi kuwa nalo, watoto wote ni sawa hata kama ni wa tandale na masaki, hasira za wazazi zisiwe chukizo kwa watoto.
Hapa unasema ila nahakika kila mzazi hufanya ..
 
Back
Top Bottom