Power Dynamo rekebisheni kiungo chenu na safu yenu ya ushambuliaji vinginevyo amjapata timu ya kucheza ligi ya mabingwa

Power Dynamo rekebisheni kiungo chenu na safu yenu ya ushambuliaji vinginevyo amjapata timu ya kucheza ligi ya mabingwa

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Ni mechi ambayo imekuwa rahisi sana kwa mabeki wa simba Kutokana na mambo kadha wa kadha ya kiufundi, kwanza ni wazuri kwenye umiliki wa mpira kwa mchezaji mmoja mmoja but kitimu bado wana kazi kubwa ya kufanya, pili awachezi mpira wa malengo na inaonekana wachezaji wao wengi awana uzoefu na mechi kubwa, kuanzia kati Kati kwenda mbele wana mapungufu mengi sana ambayo wanatakiwa wayafanyie kazi kabla awajaenda kwenye michuano mikubwa.

Washambuliaji wao wamempa sifa za bure yule beki wa simba Che malon akawa anacheza anavyotaka, akuna presha yeyote aliyoipata ni kama vile alikuwa likizo, kwa Timu yao hii wasiporekebisha ni mapema Sana wanaaga mashindano!

Yote kwa yote tumeona dk 90 za bonanza sasa macho yetu tunayaelekeza Tanga uko ndio tutaanza kuona picha halisi ya nani mwenye timu bora na nani mwenye kikosi bora, kule panaenda kuchimbika sio mchezo na bahati nzuri kule akuna power dynamo bali kuna wanaume Yanga, Azam na singida tunaweka akiba ya maneno!
 
Nanukuu .. "Washàmbuliaji Wào Wamempa Sifa Za bure yule beki wa Simba Che Malon"

Hii ni Kauli inayolewa na mtu Mwenye 'Husda' na maumivu makali ya Wivu....Pole sana We Mzee.Hakuna jinsi Vumilia tu.
 
Ni mechi ambayo imekuwa rahisi sana kwa mabeki wa simba Kutokana na mambo kadha wa kadha ya kiufundi, kwanza ni wazuri kwenye umiliki wa mpira kwa mchezaji mmoja mmoja but kitimu bado wana kazi kubwa ya kufanya, pili awachezi mpira wa malengo na inaonekana wachezaji wao wengi awana uzoefu na mechi kubwa, kuanzia kati Kati kwenda mbele wana mapungufu mengi sana ambayo wanatakiwa wayafanyie kazi kabla awajaenda kwenye michuano mikubwa.

Washambuliaji wao wamempa sifa za bure yule beki wa simba Che malon akawa anacheza anavyotaka, akuna presha yeyote aliyoipata ni kama vile alikuwa likizo, kwa Timu yao hii wasiporekebisha ni mapema Sana wanaaga mashindano!

Yote kwa yote tumeona dk 90 za bonanza sasa macho yetu tunayaelekeza Tanga uko ndio tutaanza kuona picha halisi ya nani mwenye timu bora na nani mwenye kikosi bora, kule panaenda kuchimbika sio mchezo na bahati nzuri kule akuna power dynamo bali kuna wanaume Yanga, Azam na singida tunaweka akiba ya maneno!
Aise yaan singida na azam wawe wanaume wa shoka kweli kuliko power dynamo, kweli mpira umeingiliwa

kwa wanaojua mpira hawa jamaa wamecheza kikubwa sana ni vile unafikir angekuwa singida zingeishia mbili tu pale
 
Ile timu ina wachezaji wa kawaida sana. Kwa kiwango kile hata hiyo raundi ya pili yenyewe haivuki.
 
Kufungwa afungwe mzambia alie Utopolo,dunia hii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni mechi ambayo imekuwa rahisi sana kwa mabeki wa simba Kutokana na mambo kadha wa kadha ya kiufundi, kwanza ni wazuri kwenye umiliki wa mpira kwa mchezaji mmoja mmoja but kitimu bado wana kazi kubwa ya kufanya, pili awachezi mpira wa malengo na inaonekana wachezaji wao wengi awana uzoefu na mechi kubwa, kuanzia kati Kati kwenda mbele wana mapungufu mengi sana ambayo wanatakiwa wayafanyie kazi kabla awajaenda kwenye michuano mikubwa.

Washambuliaji wao wamempa sifa za bure yule beki wa simba Che malon akawa anacheza anavyotaka, akuna presha yeyote aliyoipata ni kama vile alikuwa likizo, kwa Timu yao hii wasiporekebisha ni mapema Sana wanaaga mashindano!

Yote kwa yote tumeona dk 90 za bonanza sasa macho yetu tunayaelekeza Tanga uko ndio tutaanza kuona picha halisi ya nani mwenye timu bora na nani mwenye kikosi bora, kule panaenda kuchimbika sio mchezo na bahati nzuri kule akuna power dynamo bali kuna wanaume Yanga, Azam na singida tunaweka akiba ya maneno!
Singida na makapi yao nao Ni kumtishia mtu nyau.

Atapigwa ipasavyo.

Mnyama amejiandaa vzr! Tunawahitaji utopolo tuwakande mgongo
 
Ni mechi ambayo imekuwa rahisi sana kwa mabeki wa simba Kutokana na mambo kadha wa kadha ya kiufundi, kwanza ni wazuri kwenye umiliki wa mpira kwa mchezaji mmoja mmoja but kitimu bado wana kazi kubwa ya kufanya, pili awachezi mpira wa malengo na inaonekana wachezaji wao wengi awana uzoefu na mechi kubwa, kuanzia kati Kati kwenda mbele wana mapungufu mengi sana ambayo wanatakiwa wayafanyie kazi kabla awajaenda kwenye michuano mikubwa.

Washambuliaji wao wamempa sifa za bure yule beki wa simba Che malon akawa anacheza anavyotaka, akuna presha yeyote aliyoipata ni kama vile alikuwa likizo, kwa Timu yao hii wasiporekebisha ni mapema Sana wanaaga mashindano!

Yote kwa yote tumeona dk 90 za bonanza sasa macho yetu tunayaelekeza Tanga uko ndio tutaanza kuona picha halisi ya nani mwenye timu bora na nani mwenye kikosi bora, kule panaenda kuchimbika sio mchezo na bahati nzuri kule akuna power dynamo bali kuna wanaume Yanga, Azam na singida tunaweka akiba ya maneno!
Singida huyu aliyefungwa na Coastal jana ndio mwanaume wa shoka?
 
Back
Top Bottom