The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Mwanzo kwa kuwa ndio kwanza ataanza Kampeni yake na mwisho Kwa kuwa anaweza tolewa mapemaMwanzo au mwisho wa Simba?Umekielewa ulichokiandika?Au wamekusaidia Zalan na ASAS?
Kaagaje Sasa Kwa matokeo hayo? Mbona kama unamuogopa?Power Dynamo KAAGA MASHINDANO. Upo dunia gani wewe?
Refer Al Hilal ya SudanKawaida sana mara nyingi Simba akianzia first round uwaga hatoboi, refer Juan gallax ya botswna
Hawa utopwinyo hayana akiliHakuna timu ya kumzuia simba kutinga makundi. Anzisha uzi mwingine lakini huu hauna Maana.
Msikilize kilwakivinjeHawa utopwinyo hayana akili
Wana uto waachage mana wenye akili ni wawili 2!Tukutane robo fainali.
Hakuna timu ya kuizuia Simba hapo
Hahahaaaa Amkaa wewe bado unaota ndoto za ujana.... Yanga akianzia hatua ipi anatoboaga?Kawaida sana mara nyingi Simba akianzia first round uwaga hatoboi, refer Juan gallax ya botswna
Umeelewa ulichoandika? Simba na yanga wanapeana vp changamoto kwenye CAFCL? Hebu pambana kwanza ufudhu makundi kwanza maana ndio malengo yako makubwa.Tulitamani sn simba muwe imara na kutupa changamoto wana yanga lkn ndio hivyo tena baada ya mechi mbili yani nyumbani na ugenn dhidi ya power dynamo najua hamkani patachafuka hapatakuwa salama tena....
Kuanzia management, benchi la ufundi, wachezaji tutaanza kuona thank u zikifuatana [emoji848]