othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Kunywa kwanza chai uje usome tena utanielewa tu mkuu.Umeelewa ulichoandika? Simba na yanga wanapeana vp changamoto kwenye CAFCL? Hebu pambana kwanza ufudhu makundi kwanza maana ndio malengo yako makubwa.