othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Kunywa kwanza chai uje usome tena utanielewa tu mkuu.Umeelewa ulichoandika? Simba na yanga wanapeana vp changamoto kwenye CAFCL? Hebu pambana kwanza ufudhu makundi kwanza maana ndio malengo yako makubwa.
Msimu uliyopita katoboa hadi fainali mkuu. Au ww unaishi nchi gani ndugu hata usilojue hili jambo kubwa ambalo Mskolo hawajadhubutu?Hahahaaaa Amkaa wewe bado unaota ndoto za ujana.... Yanga akianzia hatua ipi anatoboaga?
Ile ni6shirikisho huku club bingwa alifurushwa mapema SanaMsimu uliyopita katoboa hadi fainali mkuu. Au ww unaishi nchi gani ndugu hata usilojue hili jambo kubwa ambalo Mskolo hawajadhubutu?
Shirikisho si mashindano ya CAF siku hizi? Timu yako pamoja na kufanya ulozi huko kwa Madiba mbona walishindwa kupenya?Ile ni6shirikisho huku club bingwa alifurushwa mapema Sana
Kwanza mara ya mwisho Yanga kuingiza makundi CAFCL ilikuwa lini?
Fainali hiyo Simba alisha hiyo tofauti ni muda tu.Msimu uliyopita katoboa hadi fainali mkuu. Au ww unaishi nchi gani ndugu hata usilojue hili jambo kubwa ambalo Mskolo hawajadhubutu?
Kwanza mara ya mwisho Yanga kuingiza makundi CAFCL ilikuwa lini?
Msimu uliyopita katoboa hadi fainali mkuu. Au ww unaishi nchi gani ndugu hata usilojue hili jambo kubwa ambalo Mskolo hawajadhubutu?
Power dynamo ile siku ya bonanza la makolo ilikuq ni kama wanaangali kosi lao.Power dynamo labda kama wameifanyia maboresho safu yao ya ushambuliaji ndio wanaweza kuwapa makolo wakati mgumu but kama bado wako vile vile nilivyowashuhudia kwenye bonanza la simba day walivyochapwa goli 2 watakuwa wanakamilisha ratiba tu maana ni kama kitayose iliyochangamka, safu yao ya ushambuliaji ni majanga
Uzi ufungweTukutane robo fainali.
Hakuna timu ya kuizuia Simba hapo
Angalia timu ya Namibia iliyowafunga 2-1 kwenye mechi ya kwanza, angalia Namibia kwenye rank za caf iko nafasi ya ngapi, na angalia zambia iko nafasi ya ngapi, lakini kitimu cha Namibia kikawagonga hao power dynamo ambao ndio mabingwa wa zambia na kiwango chao ndio kile, vipi wakikutana na wazee wa pira papatu papatuš¤£š¤£Power dynamo ile siku ya bonanza la makolo ilikuq ni kama wanaangali kosi lao.
Kipindi cha kwanza walianza wengine na kipindi cha pili wakaingia wengine kama walivyofanya wananchi. Kile sio kipimo sahihi kwa Dynamo ila kilikua kipimo sahihi kwa makolo maana wao walifanya sub kama mechi ya mashindano vile.
Tar 15 sio mbali.Angalia timu ya Namibia iliyowafunga 2-1 kwenye mechi ya kwanza, angalia Namibia kwenye rank za caf iko nafasi ya ngapi, na angalia zambia iko nafasi ya ngapi, lakini kitimu cha Namibia kikawagonga hao power dynamo ambao ndio mabingwa wa zambia na kiwango chao ndio kile, vipi wakikutana na wazee wa pira papatu papatuš¤£š¤£
20yrs backKwanza mara ya mwisho Yanga kuingiza makundi CAFCL ilikuwa lini?
Ulikuwa umezaliwa?Kwani Simba hajawahi fika fainali ya shirikisho???
Uliangalia hotuba ya sa100 siku ya bonaza la simba day??
Na wakapata matokeoPower dynamo ile siku ya bonanza la makolo ilikuq ni kama wanaangali kosi lao.
Kipindi cha kwanza walianza wengine na kipindi cha pili wakaingia wengine kama walivyofanya wananchi. Kile sio kipimo sahihi kwa Dynamo ila kilikua kipimo sahihi kwa makolo maana wao walifanya sub kama mechi ya mashindano vile.
1998Kwanza mara ya mwisho Yanga kuingiza makundi CAFCL ilikuwa lini?