Nakumbuka kulikuwa na magwiji wa nyimbo zenye maadili sana kipindi icho, Mzee mwingine ni Mzee Makongoro na nyimbo zake.
Kuna huu naukumbuka beti zake chache... unaitwa "Madereva",
Unaanza hivi..."Mtikisiko wa Wimbi, Maji Ya Kipwa Kimbia, Ukimsifu Mgema Tembo ulitia Maji... Madereva wenye fujo yafaa kuwakimbia.
Kibwagizo: Dereva kalewa pombe! haa! Sawa hiyo!?
Waitikiaji: Haataa, hiyo si sawa dereva wacha vituko!
Nyingine:
Kuleni kuku, mayai, mboga, samaki, maziwa, Na kujenga nyumba safi pa kulala pawe bora!