Power of Attorney: Rostam Aziz the bigger winner in Dowans settlement

Power of Attorney: Rostam Aziz the bigger winner in Dowans settlement

However, if a party isn't satisfied with an award, "there are two routes available either to apply to the Tanzanian court to remit the award to the arbitrators for reconsideration of certain issues or to apply to the high court to set aside the Award.

"To apply to set aside an award, it must be that the Award was improperly obtained or that the arbitrators misconducted themselves," reads part of the ruling by the ICC.

Jaji Werema alichosema hakuna rufaa maana yake alikuwa anatuhadaa watanzania?

Watanzania aluta continuaaaaaaaaaaaaa
 
Jaji werema naye ni Jambazi la kukodiwa.
Jaji Werema anaogopa nguvu ya pesa!!
Hajui kwamba People's power is like 1000 nuclear blasts??
 
Waziri Ngeleja, mbona jina la RA halikuwepo katika orodha yako ? Mr Ngeleja, with this kind of story surfacing in the public do you have any guts to rebutal it. Where is your credibility as a Senior Public Servant !
Secondly, CCM Central Commitee how possible you could deliberate Dowans in the presence of Mr Azizi.!!!
Last, CCM if your manifesto of election is to fight grand corruption, then which one apart of this.
 
Dah!!
Tanzania ni nchi ya amani lakini naona RA na wenzake wanachezea simba sharubu,mimi kwakweli nimechoka kila siku kuwa goigoi wa CCM.Na ikumbukwe kuwa amani huja kwa ncha ya upanga.JK kumbuka chechnya kuna mechanics for hire.
 
:sick:Waache wamlipe wakione cha Bin Ali na Mubarak kama fisadi Kikwete hajakimbilia Saudi Arabia kama wenzake:sick:
Yaani hali ilipofika,inabidi tutafute wa kumfunga paka kengele............
 
Dowans yamuibua Mama Maria Nyerere
• Asema wananchi wataichukia CCM daima

na Waandishi wetu

SAKATA la serikali kutaka kuilipa mabilioni ya fedha kampuni ya Dowans, limeendelea kuchukua sura mpya, ambapo safari hii mke wa Baba wa Taifa, Maria Nyerere, ameitaka serikali ya Rais Jakaya Kikwete isikimbilie kuilipa kampuni hiyo badala yake ivute subira.
Mjane huyo wa Baba wa Taifa, amesema serikali inapaswa kuvuta subira kwanza juu ya suala hilo na si kubariki malipo hayo kwa harakaharaka na kwamba iwapo Mahakama ya Usuluhishi ya Kimataifa (ICC), imeamuru, basi isiwe kigezo cha leo ama kesho kulipwa.
Mama Maria Nyerere alisema hayo juzi nyumbani kwake, Mwitongo Butiama, wilayani Musoma, Mara alipozungumza na waandishi wa habari waliokuwa wameambatana na msafara wa viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), kutoka mikoa ya Mbeya na Shinyanga.
Viongozi hao wa UVCCM waliotembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ni pamoja na kamanda wa umoja huo kutoka mkoa wa Mbeya, Mwakajumilo Isaac, na mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa UVCCM kutoka Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga, Dinawi Gabriel.
Katika ufafanuzi wake juu ya malipo hayo ya Dowans, Maria Nyerere alisema: “Licha ya Mahakama ya ICC kuiamuru Tanzania iilipe Dowans sh bilioni 94, ni vema serikali ikatafakari kwa umakini mkubwa na si kukimbilia kulipa!”
Alisema viongozi wa serikali na wana CCM kwa ujumla, wanapaswa kuliangalia kwa umakini zaidi suala hilo, ili lisije kuleta athari na kusababisha wananchi kukichukia chama hicho.
“Kwa hili la Dowans kutaka kulipwa, mimi nashauri serikali isikimbilie kulipa fedha hizo…bilioni 94 ni fedha nyingi na kama hawatafikiria kwa umakini mkubwa wananchi wanaweza kuichukia daima CCM.
“Tusikurupuke, tusikimbilie kuilipa Dowans….huu ndiyo ushauri wangu kwa serikali na wana CCM kwa ujumla,” alisema mke huyo wa Baba wa Taifa, huku akiwatania waandishi wa habari kwa kusema: “Ninyi mnataka ama hamtaki Dowans ilipwe?”
Hata hivyo, Maria Nyerere aliwataka viongozi wa CCM kurudia utaratibu wa zamani wa Baba wa Taifa wa kutumia vikao vyake vya ndani kukosoana, kukemeana na hata kuchukuliana hatua za kimaadili ili kuzima mambo ya chama kutoka nje.
“Baba wa Taifa aliwahi kusema kwamba bila CCM madhubuti nchi itayumba! Kauli hii ina maana kubwa sana kwa wana CCM waizingatie!” alibainisha.
Hata hivyo, alisema siku zote amekuwa akifuatilia na kusikiliza mambo ya Richimond, Dowans na EPA, lakini baadhi ya viongozi na wanasiasa wameonekana dhahiri kuchukizwa na kuamua kujitoa kupambana na mambo wanayoona hayana faida kwa taifa na wananchi wake.
Naye Mjumbe wa kamati ya utekelezaji wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Husein Bashe, alisema vijana hawapo tayari kuipokea CCM ikiwa chama cha upinzani hivyo ni vema viongozi waliopo madarakani wauambia umma kama wameshindwa kutekeleza sera za chama hicho kikongwe.
Alisema vijana wanasikitishwa na malumbano ya takriban miaka mitatu kuhusu kampuni za Dowans na Richmond kufua umeme wakati wananchi wakiendelea kukaa gizani kwa sababu ya kutokuwapo kwa umeme.
Alibainisha kuwa wimbo wa Dowans na Richmond umechosha na kama viongozi hawana jipya ni vema wakaachia madaraka ili kuwapisha wenye dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa kwa maslahi ya wengi.
Alisema inasikitisha kuona wanafunzi wengi wa shule za kata wakifeli mitihani yao kwa sababu ya uhaba wa walimu, madawati, vitabu lakini viongozi hawashtuki na badala yake wamekuwa wakiendeleza wimbo wa Dowans na Richmond.
“Hatuko tayari kuipokea CCM ikiwa chama cha upinzani, tumechoshwa na matatizo tuliyonayo, viongozi wachape kazi na kama hawawezi waachie ngazi” alisema.
Wakati huohuo, Chama cha Wananchi (CUF) kinatarajia kufanya mandamano ya amani Jumatatu ijayo kupinga mpango wa serikali kuilipa kampuni ya Dowans.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Julius Mtatiro, alisema maandamano hayo yataanzia eneo la Buguruni na kuishia katika viwanja vya Kidongo Chekundu.
Maandamano hayo yatakayoongozwa na Profesa Ibrahim Lipumba na kuongozwa na viongozi wa kitaifa wa CUF ambao watahutubia maelfu ya waandamanaji na kutoa msimamo wa chama juu ya suala hilo.
Aidha, aliwataka wananchi, wanaharakati, mashirika mbalimbali na wapenzi wa CUF kujitokeza kwa wingi katika maandamano hayo.
Kuhusu kupata kibali kutoka Jeshi la Polisi, Mtatiro alisema tayari wameshalitaarifu jeshi hilo juu ya maandamano hayo kupitia barua yenye Kumbu.CUF/AK/DSM/NKM/B/002/A2/2011/08 ya Januari 28, mwaka 2011.
Alisema wanatarajia jeshi hilo halitajaribu kuhujumu maandamano hayo kutokana na ‘taarifa za ki-telijensia’ ambazo zimekuwa maarufu hivi karibuni.
Sakata la kulipwa kwa kampuni hiyo limekuja baada ya serikali kupitia Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kutangaza kuamua kuilipa kampuni ya Dowans fedha hizo kama ilivyoamuliwa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi (ICC).
 
Hii power of attorney (PoA) inayoongelewa hapa ni kiini macho tu. Hizi ni mbinu tu za RA na wenzake kujificha wanapotaka kukamua nchi.
  1. Hivi ni mmiliki gani wa kampuni (director) anayeweza akakupa nguvu kiasi hicho (kufanya lolote) kwenye miradi yake ya mamilioni ya dolar bila ya yeye kuwapo??
  2. Kwa nini Tan Gov/ Tanesco hawakuomba wakiwa huko ICC, kuwahoji hao wamiliki kivuli wa Dowans ili kuthibitisha uwepo wao kama wangesisitiza kuwa na wasiwasi na uhalali wao?
  3. Kwa nini RA habanwi na TAKUKURU kuhakiki au kukanusha kama yeye ndiye mwakilishi au mmiliki wa Dowans au akaelezea mahusiano yao kibiashara na maslahi yake kwenye hayo mahusiano kama ilivyodokezwa kwenye ripoti ya Mwakyembe??
  4. Hivi inawezekana kweli JK na serikali yake wakawa hawafahamu haya mahusiano ya Dowans na RA au wanatuzuga tu??
 
Watanzania tunashindwa nini kumwondoa huyu RA? Wapinzania tafadhali andaaeni maandamano makubwa nchi nzima tupinge kwa sauti kuu na tumwondoe fisadi huyu mkubwa aliyetumwa na Iran kuifilisi nchi yetu.
 
It goes further to give Mr Aziz, the immediate former CCM treasurer and shareholder in the short lived RVR Rail Consortium that brought together Kenya and Uganda railways, the power to "pay, settle, deduct and allow all taxes, rates, charges, deductions, expenses and all other payments and outgoings whatsoever due and payable or to become due and payable for or on account of any property, whether movable or immovable and whether in possession or in action, now or hereafter belonging to us or to which we may become entitled."
Sina shaka kuwa tunapoambiwa na CCM kuwa wanatafuta njia ya kufanya malipo yapunguzwe (ili tuache kupiga kelele), ni kwa vile wanajua wazi kuwa RA anaruhusiwa kufanya hivyo kwenye hiyo PoA (power of attorney) yake. Inabidi kuwabana wale wote wanaotaka tulipe angalau kidogo ili watufahamishe wanawezaje kufanya hayo mazingaombwe ikiwa wamiliki wenyewe sio wazalendo???
 
However, if a party isn't satisfied with an award, "there are two routes available either to apply to the Tanzanian court to remit the award to the arbitrators for reconsideration of certain issues or to apply to the high court to set aside the Award.
"To apply to set aside an award, it must be that the Award was improperly obtained or that the arbitrators misconducted themselves," reads part of the ruling by the ICC.


Jaji Werema alichosema hakuna rufaa maana yake alikuwa anatuhadaa watanzania?

:clap2:Watanzania aluta continuaaaaaaaaaaaaa:clap2:

Don't get confused with the phrase "If a party isn't satisfied with an award". "If a party isn't satisfied with an award" means a party to that arbitration or contract, in this Dowans and Tanesco. "If a party" in this context, does not mean a third party such as wanaharakati. Accordingly, unless Tanesco argues in the High Cout that it is not satisfied with the award using the two stated routes, then that is it.
 
Wanasheria nisaidieni hii ATTORNEY-IN-FACT ndio nini tena?

Mr Aziz was appointed Dowans’ attorney-in-fact as far back as 2005 “to manage the company’s affairs outside the Republic of Costa Rica.”
 
This has now put TANZANIA SECURITY SITUATION @ RISK. The moment the majority (Citizens) realize that their govt is a puppet and the people elected have masters other than WANANCHI, the country is GONE. We now have masters who noone elected controlling us.

There are only 2 options in order for the GOVT to reclaim its Sovereignity::

1) The president & CCM chairman has to sack Rostam from CC & NEC ASAP, while PCCB on a fast track basis build a TREASON case against Rostam and take him to court within 3 months.

2) Rashid Othman kusoma mwongozo wa kikazi ambao uko wazi kabisa namna ya kufanya ikiwa mtu au watu wachache ndani ya mipaka ya Tanzania wakiwa ni adui wa serikali au kuhatarisha usalama wa nchi kwa njia ambazo sio halali na kumweka RAIS wa nchi hatarini na rais kuonekana sio anayeongoza nchi.

May God Bless Tanzania.
 
Wanasheria nisaidieni hii ATTORNEY-IN-FACT ndio nini tena?

Mr Aziz was appointed Dowans' attorney-in-fact as far back as 2005 "to manage the company's affairs outside the Republic of Costa Rica."


In power of attorney, there attorney-in-fact and special power of attorney. Attorney-in-fact is someone specifically named by another through a written "power of attorney" to act for that person in the conduct of the appointer's business. In a "general power of attorney" the attorney-in-fact can conduct all business or sign any document, and in a "special power of attorney" he/she can only sign documents or act in relation to special identified matters. In short, attorney-in-fact has extensive powers, whereas the powers of a special attorney are limited.

So, if Rostam Aziz was attorney-in-fact as alleged, it means that he had powers to conduct all Dowans business and sign any document in which Dowans had interest.
 
KWA NINI GEREJA HAKUYASEMA HAYA
kwamba Mr Aziz ndio mwenye say katika Dowans
Powers granted to Mr Aziz include: "To transact, manage, carry on and do all and every business matters and things requisite and necessary or in any manner connected with or having reference to the business and affairs of the company and, for such purposes, to conduct all correspondences appertaining to such businesses and affairs."
The directors further granted Mr Aziz the power "to open and to close bank accounts... and to draw cheques on our accounts... and to sign all kinds of documents in connection with our accounts or money,"

Sasa kwa hii power ambayo RA ndani ya Dowans, serikali itatushawishi vipi kwamba RA sio mwenye Kampuni, Hivi kweli inakuingia kwenye akili kuwa watu watano wafungue kampuni alafu wampe Mtu mwingine authority ya kutoa pesa na kufanya mikataba mingine bila ya wao kuwepo?
 
RA kawapanga foleni Viongozi wote wa JUU wa CCM na serikali yake pia Wastaafu, anawapiga FITO kwa ulaini na kila mmoja anasubiri zamu yake ya kupigwa FITO ifike kwa HAMU kuu.

Kelele zetu juu ya DOWANS ni udhia kwao kwani zitawanyima nafasi ya FARAGHA na MUME wao ROSTAM AZIZ.
Dawa ni kuwaondoa wao na Bwana wao wakanywe naye chai Ughaibuni.

Afu anawagawia JK na grupu lake kila mtu si zaidi ya kabilioni kamoja, wakati yeye kasunda mabilioni. Miafrika bwana, yote hii JK kumtumia RA ati ni burushi hatatoa siri. Hamna tofauti kabisa na machifu wa zamani waliouza watu utumwani kwa kupewa shanga.
 
Back
Top Bottom