mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Zilizopo na za bei nafuu ni za kichina.Kulima eka nne sio realistic kwani inategemea aina ya udongo
Ulaji wa mafuta ni mzuri mno na unaweza kufunga pump ya maji na kama una mifugo inarahisisha sana.
It is worth investing on.
hapa dar es salaam mimi nilikutana nazo morogoro road karibu na makutano ya morogoro road na samora kuna maduka mengi sana ya mashine mbalimbali,generator na vingine vingi tembelea uone, pale duka moja nililopita wanauza tsh. 4M
Suala la kulima eka nne usilitilie maanani sana kwani inategemea sana ardhi kwa mfano ardhi ya kilosa kutokana na kuvamiwa na ngombe wengi power tiler hata eka moja hailipi.Kama umeona kwa macho yako ikilima then that is fine.Asante, naanza kupata picha, ninataka kuinvest yaani nilienda kijiji kimoja huwezi amini watu wanajipanga foleni kusubirizia kulimiwa na wanagombania balaa, ndo nikaona kama pia ni fursa, maana helka moja unalimiwa kwa sh. elf 50! so am not sure ni heka ngapi kwa siku maana ndo mmoja aliniambia ni heka 4 nikaona ni big ya opportunity..