mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Hi wanajamvi, nina maswali kadhaa kuhusiana na power tillers
1. Je kuna aina ngapi angalau za power tillers?
2.Kwa DAR zinapatikana maduka gani na bei yake ikoje
4.Je ni durable power tillers? any experience
5.Kuna mtu kaniambia zinalima heka nne kwa siku ni kweli?
6.je zinatumia mafuta/oil kiwango kizuri au zinakula sana?
Nashukuru wanajamvi, mmekuwa msaada mkubwa kwangu, ushauri wote nimekuwa nikiufanyia kazi!
1. Je kuna aina ngapi angalau za power tillers?
2.Kwa DAR zinapatikana maduka gani na bei yake ikoje
4.Je ni durable power tillers? any experience
5.Kuna mtu kaniambia zinalima heka nne kwa siku ni kweli?
6.je zinatumia mafuta/oil kiwango kizuri au zinakula sana?
Nashukuru wanajamvi, mmekuwa msaada mkubwa kwangu, ushauri wote nimekuwa nikiufanyia kazi!