Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Asalaam aleykum Jamiyah, hapo awali kidogo ukinnunua simu dukani ilikuwa ni simu ambayo endapo ni Samsung, Nokia, tecno na kadhalika, wakati wa kuiwasha ilikuwa inakuja nembo halisi ya simu husika bila ya kuwa na andishi lolote linaloambatana yaani linakuja neno Samsung na mbwembwe zake kwenye screen kwa raha kabisa, lakini kwa sasa inakuwa tafrani kidogo simu nyingi mara ununuapo huja na maneno "powered by androids" pia nyingi huwa zinapatikana moto kwelikweli ambazo ndizo simu nyingi mno, Je simu hizi sio fake?
#Tujuzane wabobezi.
#Tujuzane wabobezi.